Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Spika wa Bunge, Job Ndugai ametaka kuanzishwa kwa dawati la wanaume ambalo litakuwa linashughulikia changamoto wanazokumbana nazo wanaume. Amesema kwa sasa mkazo umekuwa zaidi kwa wanawake, watu wakidhani wanaume wapo salama, jambo ambalo si sahihi.
"Tutamuomba Mhe.Rais siku nyingine aite mkutano wa wanaume tu, na sisi tu-revenge, wanawake waone wakwetu utakavyokuwa mkubwa zaidi ya wa kwao".
"Tutamuomba Mhe.Rais siku nyingine aite mkutano wa wanaume tu, na sisi tu-revenge, wanawake waone wakwetu utakavyokuwa mkubwa zaidi ya wa kwao".