Hakika tunahitaji huruma ya MunguHii nchi sijui tunaelekea wapi, Mungu atunusuru.
Hakika tunahitaji huruma ya MunguHii nchi sijui tunaelekea wapi, Mungu atunusuru.
Tunaojua sayansi tumenyamaza tu!Mpango ni carrier wa mzigo wa wave 2.
Labdaunataka awaambukize Kovidi.
Vikao vinasaidia nini?Tumechoka na hii mikutano ya wanawake na nionavyo sasa ni nchi ktk mashindano ya gender. Samia aendelee na wanawake wenzake, wanaume tuendelee na Philip Mpango!
Mkutano wetu hautakuwa na vigelegele, wanamziki na hasa TMK rudini, jiandaeni kuleta burudani.
Sasa mwanaume mzima ualikwe na mwanamke mkutano wa wanaume? Akilaza macho wewe ufanyeje?Yaani mwaume mzima kama unaogopa mikutano ya wanawake inabidi ujiangalie upya inawezekana unamatatizo. Wanawake wanakutana kwansababu ndiyo walezi wa watoto na familia wanaume wa bongo wengi ni kushinda bar, vijiweni, uvivu na kulalamika kila siku. Hii ndiyo sababu Magufuli alipenda kufanya kazi na wanawake
Tatizo karukia vijana wakati kati yao wamo wanawake ambao kisha kutana nao. yeye pia siyo kijana. Tayari kisha jichanganya kabla ya siku 100.Aitishe vikao na viongozi wa dini na vyama vya siasa
Sasa mwanaume mzima ualikwe na mwanamke mkutano wa wanaume? Akilaza macho wewe ufanyeje?
Uvivu wanaume?Yaani mwaume mzima kama unaogopa mikutano ya wanawake inabidi ujiangalie upya inawezekana una matatizo. Wanawake wanakutana kwasababu ndiyo walezi wa watoto na familia wanaume wa bongo wengi ni kushinda bar, vijiweni, uvivu na kulalamika kila siku. Hii ndiyo sababu Magufuli alipenda kufanya kazi na wanawake