Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Wanasubiri wakistaafu waandike kitabu My daughter's sacrifice made me the king of Tanzania.
Tulia na kisha soma vizuri! Hakuna palipoandikwa :mda wote" kama unavyopindisha ukweli. "Tofautisha kufanya siasa mahali popote Tanzania" na kufanya "siasa mda wote" Watu wa ccm bhana shida tu, yaani wanapenda kulisha watu manenoKifungu gani ndani yakatiba inasemasiasa ifanywe mda wote?. Nijibu nisome
Kuna viongozi wawili wakubwa nchi hii kwa kweli wanafedhehesha sana taifa, Spika Ndugai na Jaji Mkuu Ibrahim Juma.
Imagine hawa jamaa tangu kabla na baada ya sherehe za Uhuru zilizofanyika Mwanza Desemba 9 wamekuwa wakiishi Chato na Mwanza utafikiri ndo makwao yan, kwamba ni kwao na Spika Ndugai Kongwa, au Tarime kwa Profesa Juma.
Akili gani hii wanaume tena viongozi wakubwa wanakosa kuwajibika hadi wanahama makwao na kwenda kuishi ugenini, kwenye familia nyingine? Tabia mbaya sanaaa!
Hapo maana yake hata mwenyeji wao akitoka kwenda shamba nao wanaambatana naye, akitoka kwenda kuchunga ng'ombe wake na wao wanakwenda, halaf badae waje kutusimulia wakishastaafu kuwa walikuwa wanakwenda Chato kulimishwa shamba au kuchungishwa ng'ombe as if that is manhood to them😬
Grow some balls men, ni taifa ndo limewaheshimisha mkapata mamlaka makubwa, siyo demigod flan wa Koromije huko, chee!
Una uhakika? mbona jana nimemuona mh spika hapa dar?Kuna viongozi wawili wakubwa nchi hii kwa kweli wanafedhehesha sana taifa, Spika Ndugai na Jaji Mkuu Ibrahim Juma.
Imagine hawa jamaa tangu kabla na baada ya sherehe za Uhuru zilizofanyika Mwanza Desemba 9 wamekuwa wakiishi Chato na Mwanza utafikiri ndo makwao yan, kwamba ni kwao na Spika Ndugai Kongwa, au Tarime kwa Profesa Juma.
Akili gani hii wanaume tena viongozi wakubwa wanakosa kuwajibika hadi wanahama makwao na kwenda kuishi ugenini, kwenye familia nyingine? Tabia mbaya sanaaa!
Hapo maana yake hata mwenyeji wao akitoka kwenda shamba nao wanaambatana naye, akitoka kwenda kuchunga ng'ombe wake na wao wanakwenda, halaf badae waje kutusimulia wakishastaafu kuwa walikuwa wanakwenda Chato kulimishwa shamba au kuchungishwa ng'ombe as if that is manhood to them😬
Grow some balls men, ni taifa ndo limewaheshimisha mkapata mamlaka makubwa, siyo demigod flan wa Koromije huko, chee!
Daaaaah😂😂😂😂Uliona wapi speaker ikawa mbali na radio?
Mbona wengine mnawaambia wasikanyage kwenye mikoa yaoTanzania ni yetu sote
Ana Uhuru wa kuishi apendapo
Wapinzani msiwe mnapinga kila Kitu Wananchi wanawaona kituko tu
I have learned we lack a sense of manly pride as a culture, aside the toxic, oppressive kind.
Hii Nchi kuanzia wananchi hadi viongozi wote wanalalamika tu.Kuna viongozi wawili wakubwa nchi hii kwa kweli wanafedhehesha sana taifa, Spika Ndugai na Jaji Mkuu Ibrahim Juma.
Imagine hawa jamaa tangu kabla na baada ya sherehe za Uhuru zilizofanyika Mwanza Desemba 9 wamekuwa wakiishi Chato na Mwanza utafikiri ndo makwao yan, kwamba ni kwao na Spika Ndugai Kongwa, au Tarime kwa Profesa Juma.
Akili gani hii wanaume tena viongozi wakubwa wanakosa kuwajibika hadi wanahama makwao na kwenda kuishi ugenini, kwenye familia nyingine? Tabia mbaya sanaaa!
Hapo maana yake hata mwenyeji wao akitoka kwenda shamba nao wanaambatana naye, akitoka kwenda kuchunga ng'ombe wake na wao wanakwenda, halaf badae waje kutusimulia wakishastaafu kuwa walikuwa wanakwenda Chato kulimishwa shamba au kuchungishwa ng'ombe as if that is manhood to them😬
Grow some balls men, ni taifa ndo limewaheshimisha mkapata mamlaka makubwa, siyo demigod flan wa Koromije huko, chee!
Tanzania ni yetu sote
Ana Uhuru wa kuishi apendapo
Wapinzani msiwe mnapinga kila Kitu Wananchi wanawaona kituko tu
Chato Tanzania, Mwanza Tanzania Kongwa Tanzania, hapo ulipo mleta mada naamini ni ndani ya Tanzania.
Kinakuuma nini spika kuwepo huko kanda ya ziwa muda wote huu!!?.
Kwa Ndugai kukaa huko siku zote alizokaa bibi au babu yako kijijini anapungukiwa au anaongezewa na nini maishani mwake?.
Nyie niwatu wabaya sana, wasipoelewana mnasema tena mihimili haielewani , watu km nyie mlikuwepo tangia adam
Wewe mwenye kichwa tueleze ndugai anafanya nn chato?Hoja za vijana wa Ufipa kuna wakati unaweza ukajiuliza Hivi hawa wana vichwa Au wanawaza kwa kutumia makucha..??hopeless