johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,777
- 141,652
Spika wa bunge la JMT mh Ndugai amesema wananchi wasichanganye kwamba mbunge ni lazima aape akiwa ndani ya bunge, kanuni hazisemi hivyo.
Kwa mujibu wa kanuni kama kuna kikao cha bunge kinachoendelea basi wabunge wapya wataapishwa ndani ya ukumbi wa bunge.
Endapo mbunge atateuliwa wakati bunge halina vikao basi Spika atamwapisha katika sehemu anayoona inafaa na kulijulisha bunge vikao vitakapoanza.
Spika amesema kiapo cha wabunge wa CHADEMA kilichofanyika kwenye viwanja vya bunge ni halali kwa sababu wameapa mbele ya Spika wa bunge na hilo ndio la muhimu.
Maendeleo hayana vyama!
Kwa mujibu wa kanuni kama kuna kikao cha bunge kinachoendelea basi wabunge wapya wataapishwa ndani ya ukumbi wa bunge.
Endapo mbunge atateuliwa wakati bunge halina vikao basi Spika atamwapisha katika sehemu anayoona inafaa na kulijulisha bunge vikao vitakapoanza.
Spika amesema kiapo cha wabunge wa CHADEMA kilichofanyika kwenye viwanja vya bunge ni halali kwa sababu wameapa mbele ya Spika wa bunge na hilo ndio la muhimu.
Maendeleo hayana vyama!