kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,071
- 15,897
Jitahidini hivyo hivyo tumewazoea ama kwa hakika!
Hata shingo za kukaza tunazo tena?
Hata shingo za kukaza tunazo tena?
Ilikuwa lazima iwe hivyo kwa gharama zozote kuokoa bagetiHuu mchezo umechezwa kwaakili kubwa sana. Hata Mbowe anajua mchezo mzima. Ila pia nimeona ni vyema maana hata wakisusa hakuna jipya
Pia Chadema itatumia hao hao wabunge kuleta angalau upinzani kidogo Bungeni na kuifanya CCM ifunguke akili kidogo