johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,591
- 141,393
- Thread starter
- #21
Hahahaaaa....... hahahaaaa....... Siasa ni sayansi!Unashangilia wewe zuzu utadhani umeteuliwa
Hahahaaaa....... hahahaaaa....... Siasa ni sayansi!Unashangilia wewe zuzu utadhani umeteuliwa
Mpuuzi mkubwa weweHahahaaaa....... hahahaaaa....... Siasa ni sayansi!
Huu mchezo hautaki hasira manka!Mpuuzi mkubwa wewe
Vipi mamaa ulishajifungua?Huu mchezo hautaki hasira manka!
Leo mtalala na viatu mbwiga nyie!Vipi mamaa ulishajifungua?
Mnyika anazuga tu kwa sababu wamewakata akina Peneza, CPA Ruge, Suzan Kiwanga nk!Kwahyo wakiteua wengine means mmekubali kuwa Uchaguzi ulikua huru na wa haki?
siwezi kubishana na wamama wajawazito mimi naweza kutemewa mateLeo mtalala na viatu mbwiga nyie!
Hahahaaaa....... Halima Mdee amewakomesheni!siwezi kubishana na wamama wajawazito mimi naweza kutemewa mate
Mfundishe na mdee jinsi ya kupata ujauzito kama wewe ili aache usagaji kama weweHahahaaaa....... Halima Mdee amewakomesheni!
This is the most important thing that everyone of us should take into account!! Naamini hawa wamama watafanya upinzani thabit na kwa kuwa ni wanawake basi tutegemee kuvuta hisia kwenye bunge hili ambalo hali kua na meno angalau jino moja limeongezeka. Wabunge hawa sio wachache wakiwa na uzalendo uliotukuka wataamusha bunge bubu kuwa bunge semi!!!Nafikiri CDM inapaswa kukubaliana na mazingira ya kisiasa yaliyopo nchini kwa hivi sasa. Huwezi kumsusia nyani shamba la mahindi.
Isipokuwa hata kama kuna misimamo tofauti juu ya ushiriki wa wabunge wa viti maalum bungeni, inawapasa kutafuta mazingira mazuri ya kuweka wazi kwa umma juu ya uungwaji wake mkono ndani ya kikao chao cha kamati kuu. Hapa panaitajika zaidi msimamo wenye busara wa pamoja zaidi ya kuegemea makundi yatokanayo na misimamo ya viongozi wakuu.
CDM inapaswa ijifunze kupitia suala lililowagharimu la kususia vikao vya Bunge la bajeti kwa hoja ya tishio la COVID-19. Licha ya mazingira yenye kushawishi kuhusu uhuni uliofanywa wakati wa uchafuzi mkuu uliopita, bado itawapasa kuwapa nafasi akina mama hawa waliochaguliwa kihalali waweze kupaza sauti zao bungeni ili kukipa chama uwakilishi uliotukuka.
My brother TAL calm down, everyone understand your unquestionable patriotism in this country. There is a lot of leadership potentials in you, time will come to tell and vividly justify this truth.
Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
Hahahaaaa....... Mmekomeshwa!Mfundishe na mdee jinsi ya kupata ujauzito kama wewe ili aache usagaji kama wewe
Lala wewe babuHuu mchezo hautaki hasira manka!
wote ni wasagaji kama wewe?Hahahaaaa....... Mmekomeshwa!
Chadema ina wabunge 20 bungeni wote ni akina mama!
Kama una maana Mh. Tundu Lissu, ujue siku hizi dunia ni kijiji. Sio kusikia tu, hadi kuona mubasharaWa mbeligiji akisikia hili tukio itakuwaje?