johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,607
- 141,429
Huu ndio wakati ambao mbunge wa Mtama Nape Nnauye anapaswa kuishikia bango hoja yake ili mkopo wote wa tsh 82 trillion uliokopwa kuanzia awamu ya 1 hadi ya 6 ifikishwe bungeni kwa mjadala wa WAZI.
Mungu mtie nguvu Spika Ndugai na Nape Nnauye.
Mungu mtie nguvu Spika Ndugai na Nape Nnauye.