Spika Ndugai: Rais Samia naomba unisamehe kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yangu🙏

Kuomba msamaha ni jambo la hekima mno

Hongera mh: Ndugai bado nasimama na kauli yako
 
  • Thanks
Reactions: Ame
ndugai wala hajaomba msamaha bali kacheza na akili za watu tu, muda ni mwalimu mzuri utajibu.
Ndugai Hana akili hiyo. Ndani kabisa ya Moyo wake ndugai anajijua yeye Ni mtu mdogo Sana na yupo hapo alipo kwa kubebwa tu.
Ndugai ameshusha sana hadhi ya cheo Cha spika kiasi kwamba hata Babu Taletale anaamini anaweza kua spika.
 
Nampongeza spika kwa kuomba msamaha badala ya utamaduni wa kulaumu. Hii ni hatua nzuri hasa kwa wale viongozi wenyewe upungufu wa kuwa na hasira za haraka kama spika. Badala ya kukuza hili jambo tulimalize

Spika kukosoa ni muhimu lakini huu ni mkopo mzuri sana miaka 20 bila riba!. Mkopo mbaya ni ule wa treni $1.5 B kwa miaka 6 na riba ya 8% huu sio mkopo mzuri kabisa. Muda sio mzuri lakini riba ingetakiwa isizidi 5% .
Nape aliomba msamaha mkampondaaa.. sasa spika na nape nani mshindi leo.

Sijawahi kuona duniani kiti cha spika kinalia hadharani...ati kusamehewa..!!
 
Ama kweli hakuna mkate mgumu mbele ya chai. Mtu kalaiiiika mwenyewe, ama kweli amewatia aibu Wagogo.
 
Hili ni swali muhimu sana.
Je ameomba radhi ya dhati aukatishwa?
alikuwa anaumwa na pengine alipotoka.
Je amehofia maisha yake?Je ameamua kujificha ili asidhirike ?Je ametishiwa ?
 
Back
Top Bottom