Spika Ndugai: Rais Samia naomba unisamehe kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yangu🙏

Katika kuchangia bandiko la Mwalla lililohusu Rais kuteua tume itakayomtangaza yeye kuwa Rais niligusia dhana ya nguvu za bunge, kwa kuuliza "...nieleze jinsi ambavyo Spika anavyoweza kufurukuta...". Nilisema kuwa wote hao wanaoitwa wakuu wa mihimili wanateuliwa na M/kt wa chama tawala. Sasa yametimia. Job katoa matamko alioamini yana tija kwa nchi yake, kasulubiwa na washabiki wa chama chake, kagwaya. Yaani, sio wala mashambulizi yaliotoka ofisi ya chama, ni watu wa kawaida tu...wala chama hakikumuita ajitetee popote, kawa mnyooonge, kagwaya. Kaomba msamaha huku akitetemeka kwa unyonge mpaka watu tunatokwa na machozi kwa kumhurumia.
Na yamefumuka mengi, kuhusu chama chake kilivomsaidia kupata uspika/ubunge, kinavomvumilia kwa kuvunja katiba kuhusu wale "Covid 19" ...nk.
Anachosema Spika, kupitia body language, ni kwamba yaliyomtoka kuhusu mikopo, aliropoka tu, hakudhamiria.
Halafu watu wanasifia kuomba radhi kwake kabla hata hajatuhumiwa rasmi na yeyote yule. Wala waliomshambulia hawakuonyesha alipokosea kimantiki, kagwaya. Kiongozi wa Mhimili unamuomba msamaha kiongozi wa mhimili mwingine ili asitimuliwe kazini na kiongozi mwenzake?! Ni Tambo au?!
Halafu wakiambiwa inahitajika katiba mpya, wanaona wanaonewa.
 
Imbombo Ngafu.
Mnisamehe mimi,samahani, mnisamehe mimi🤦‍♂️.
 
Ndugai anazinguatu, yeye ameikosoa serikali na alichosema watu wameonyesha kumuelewa na meseji imesha mfikia kila mtu nchi nzima.

Sasa kujifanya kuomba radhi ni kuzugatu ilikupozapoza mambo, anaomba radhi mdomoni, wakati moyoni
anaamini alichosema ni sawa.
 
Katika kuchangia bandiko la Mwalla lililohusu Rais kuteua tume itakayomtangaza yeye kuwa Rais niligusia dhana ya nguvu za bunge, kwa kuuliza "...nieleze jinsi ambavyo Spika anavyoweza kufurukuta...". Nilisema kuwa wote hao wanaoitwa wakuu wa mihimili wanateuliwa na M/kt wa chama tawala. Sasa yametimia. Job katoa matamko alioamini yana tija kwa nchi yake, kasulubiwa na washabiki wa chama chake, kagwaya. Yaani, sio wala mashambulizi yaliotoka ofisi ya chama, ni watu wa kawaida tu...wala chama hakikumuita ajitetee popote, kawa mnyooonge, kagwaya. Kaomba msamaha huku akitetemeka kwa unyonge mpaka watu tunatokwa na machozi kwa kumhurumia.
Na yamefumuka mengi, kuhusu chama chake kilivomsaidia kupata uspika/ubunge, kinavomvumilia kwa kuvunja katiba kuhusu wale "Covid 19" ...nk.
Anachosema Spika, kupitia body language, ni kwamba yaliyomtoka kuhusu mikopo, aliropoka tu, hakudhamiria.
Halafu watu wanasifia kuomba radhi kwake kabla hata hajatuhumiwa rasmi na yeyote yule. Wala waliomshambulia hawakuonyesha alipokosea kimantiki, kagwaya. Kiongozi wa Mhimili unamuomba msamaha kiongozi wa mhimili mwingine ili asitimuliwe kazini na kiongozi mwenzake?! Ni Tambo au?!
Halafu wakiambiwa inahitajika katiba mpya, wanaona wanaonewa.
Kwahiyo ww unatakaje!?? Vita!??
 
Ndugai anazinguatu, yeye ameikosoa serikali na alichosema watu wameonyesha kumuelewa na meseji imesha mfikia kila mtu nchi nzima.

Sasa kujifanya kuomba radhi ni kuzugatu ilikupozapoza mambo, anaomba radhi mdomoni, wakati moyoni
anaamini alichosema ni sawa.
Are u stupid or what !?? Anaikosoa serikali wakati yeye he is part of it...

Alafu usikute na wewe unadegree ila hujui kama Job ndo mkuu wa organ ya pili ya serikali..Bunge .

Shule mlisoma nini!?? Ujinga!??

Kulikuwa kuna njia ya kufikisha aloyasema sio kwa ujinga aliofanya.
 
Are u stupid or what !?? Anaikosoa serikali wakati yeye he is part of it...

Alafu usikute na wewe unadegree ila hujui kama Job ndo mkuu wa organ ya pili ya serikali..Bunge .

Shule mlisoma nini!?? Ujinga!??

Kulikuwa kuna njia ya kufikisha aloyasema sio kwa ujinga aliofanya.
Ndugai na team yake ya wabunge moja ya kazizao ni kuisimamia serikali na kukosoa mapungufu wanayoyaona.

Ndugai ni sehemu ya serikali kwa kiasi flani.
Kwa mtazamo wangu minaona serikali kamili ni raisi na barazalake la mawaziri,hao ndio hupeleka mipangoyao bungeni na bunge hujadili na kukosoa mapungufu.

Sasa wewe ukisikia bunge kaziyake ni kuisimamia serikali sijui huwa unaelewa nini.!

Unaelewa maana ya neno "kosoa" kama unaelewa unashangaa nini mimi kusema ndugai amekosoa.
Hatakama ametumia njia fupi na ionekane ni mawazoyake na sio bunge, bado amechukuliwa kwa uzito wa cheochake.
 
Nikupongeza mzee kwa kutoficha kile unachokiamini haijalishi ni sahihi au sio sahihi. Huo msamaha ulioomba sisi wananzengo tunaelewa ni mwendelezo wenu wana Lumumba kutokua na tabia ya kuambiana ukweli na kale kaunafiki kalikozoeleka.

Ujumbe tumeupata kwa sauti kubwa kabisa. Hayo mengine ya msamaha mtayamaliza huko lumumba.
 
Nikupongeza mzee kwa kutoficha kile unachokiamini haijalishi ni sahihi au sio sahihi. Huo msamaha ulioomba sisi wananzengo tunaelewa ni mwendelezo wenu wana Lumumba kutokua na tabia ya kuambiana ukweli na kale kaunafiki kalikozoeleka. Ujumbe tumeupata kwa sauti kubwa kabisa. Hayo mengine ya msamaha mtayamaliza huko lumumba.
mea culpa, mea culpa, mea maxima culpa
 
Nikupongeza mzee kwa kutoficha kile unachokiamini haijalishi ni sahihi au sio sahihi. Huo msamaha ulioomba sisi wananzengo tunaelewa ni mwendelezo wenu wana Lumumba kutokua na tabia ya kuambiana ukweli na kale kaunafiki kalikozoeleka.

Ujumbe tumeupata kwa sauti kubwa kabisa. Hayo mengine ya msamaha mtayamaliza huko lumumba.
Kweli tupu msamaha haujatoka moyoni
 
Kwani Ndugai hana wasaidizi, si aandikiwe hotuba akasome! Hizi free style ndio zinaleta tabu
 
Sipika ametumia airtime bila tija yoyote. Inaelekea lengo lake la msingi ilikuwa ni Ä·ujiosha na wala siyo kuwaomba msamaha watanzania kwa kumkejeli hadharani Rais wao!! Nimshauri huyu mgogo mtani wangu.

Ukiamua kuomba msamaha unaomba msamaha!! Huyu ametenda kosa hadharani mbele ya kamera alipaswa kuomba msamaha hadharani mbele ya kamera pia, BILA CHEMBE YOYOTE YA KUJARIBU KUJIOSHA!!

Huyu jamaa amechafuka kweli kweli, amejiny*a hadharani mbele ya kamera!! ananuka!! Kama alikuwa ametumwa kupima kina cha maji katika bahari ya mama, nadhani jibu ameshalipata!! anatapatapa!! tulia mtani usikilizie utamu wa uasi!! uasi haulipi, bali unagharimu!! Uasi unaenda kukugharimu kile kiti chako kirefu mjengoni!
 
Mwisho wa mwezi
1. Mshahara na marupurupu ya ubunge 11 milioni
2. Mshahara na marupurupu ya spika... hayajulikani
3. Baada ya miaka 5, milioni 250 kiinua mgongo cha ubunge.
4. Kiinua mgongo cha spika ... hakijulikani.
Ukikusanya zote huko bilioni 1 kwa miaka Kitano tu.
Kwanini nisiombe msamaha hata kama ni mimi napiga na goti kabisa.
 
Hahaaaa!!!kwa hii katiba chakavu lazma rais aubudiwe tu
Mwisho wa mwezi
1. Mshahara na marupurupu ya ubunge 11 milioni
2. Mshahara na marupurupu ya spika... hayajulikani
3. Baada ya miaka 5, milioni 250 kiinua mgongo cha ubunge.
4. Kiinua mgongo cha spika ... hakijulikani.
Ukikusanya zote huko bilioni 1 kwa miaka Kitano tu.
Kwanini nisiombe msamaha hata kama ni mimi napiga na goti kabisa.
 
Back
Top Bottom