sblandes
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 6,131
- 4,249
Hawezi kujizulu kwa sasa watampangia muda muafaka.Wakati issue hiyo imesahaulika.Halafu jambo jingine, nitamshangaa sana ndugai asipojiuzulu.......maana si kwa spana zile alizoshushiwa kutoka kule pande za njombe.....