Spika Ndugai: Rais Samia ametuandalia futari Wabunge na Wafanyakazi wote wa Bunge siku ya Alhamisi 22/04/2021

19 March 2021

TLS Yatoa Mwongozo Uundwaji wa Serikali Mpya, Baada ya Kuapishwa Rais Samia Suluhu​


Source : Wakili TV
 
..hivi mama samia atakuwa anahutubia taifa kila siku ya ijumaa akienda kuswali msikitini?

..au kuitisha michango kwa ndugu zetu Waislamu kwa ajili ya ujenzi wa makanisa?

..nashauri mama samia afanikishe ujenzi wa kanisa kubwa afrika mashariki ili " kung'arisha " legacy yake.

Cc THE BIG SHOW , Nguruvi3, Ritz
Sasa mkubwa unanitafuta ugomvi, hivi mimi nafaa kukaa meza moja na hao waheshimiwa hapo chini!! ha ha ha h

Kama kuna ushahidi wa jinsi gani Mwendazake alivuruga utamaduni , mila na desturi zetu ni hili la hotuba.

Ilikuwa kama taboo kwa viongozi wa nchi kutoa hotuba zao katika nyumba za ibada.

Mwendazake alitumia makanisa kueleza mambo ya kitaifa. Hili tu lilitosha kuligawa Taifa

Ukizingatia teuzi zake ziliwatupa hazikujali uwiano wa dini kuna kila sababu ya kuamini alikuwa mdini sana

Namshauri sana Mh Rais Samia akemee viongozi kutumia nyumba za dini kama alivyoanza VP
 
Spika wa bunge Mhe. Ndugai amewatangazia wabunge na wafanyakazi wote wa Bunge kwamba Rais Samia Suluhu Hassan amewaandalia futari siku ya Alhamisi mara baada ya Rais Samia kulihutubia Bunge.

Zoezi la kufuturu litafanyika hapo hapo bungeni

Chanzo: Eatv Habari

Ramadhan Kareem!
Vunja bunge, tuone nani atarudi. Na sis tutafutarishwa lini?
 
Spika wa bunge Mhe. Ndugai amewatangazia wabunge na wafanyakazi wote wa Bunge kwamba Rais Samia Suluhu Hassan amewaandalia futari siku ya Alhamisi mara baada ya Rais Samia kulihutubia Bunge.

Zoezi la kufuturu litafanyika hapo hapo bungeni

Chanzo: Eatv Habari

Ramadhan Kareem!
Angalieni futari hiyo isijegeuka vilio bungeni, si mnajua mama ni mtaalamu wa lugha?
 
Sasa mkubwa unanitafuta ugomvi, hivi mimi nafaa kukaa meza moja na hao waheshimiwa hapo chini!! ha ha ha h

Kama kuna ushahidi wa jinsi gani Mwendazake alivuruga utamaduni , mila na desturi zetu ni hili la hotuba.

Ilikuwa kama taboo kwa viongozi wa nchi kutoa hotuba zao katika nyumba za ibada.

Mwendazake alitumia makanisa kueleza mambo ya kitaifa. Hili tu lilitosha kuligawa Taifa

Ukizingatia teuzi zake ziliwatupa hazikujali uwiano wa dini kuna kila sababu ya kuamini alikuwa mdini sana

Namshauri sana Mh Rais Samia akemee viongozi kutumia nyumba za dini kama alivyoanza VP
Kutumia nyumba za ibada kwa mambo ya kisiasa hakuepukiki ustaadh!
 
Hivi maana ya huu msemo ni nini?
Msemo huu ni zao la unyumbuaji wa neno Dema - yaani tembea taratibu kama mtoto anaejifunza kutembea au chopeachopea - pepesuka hivi... Kwenye uchezaji ngoma kunahali ya kucheza kwa madaha unadem.eka nadhani umeelewa.
 
Spika wa bunge Mhe. Ndugai amewatangazia wabunge na wafanyakazi wote wa Bunge kwamba Rais Samia Suluhu Hassan amewaandalia futari siku ya Alhamisi mara baada ya Rais Samia kulihutubia Bunge.

Zoezi la kufuturu litafanyika hapo hapo bungeni

Chanzo: Eatv Habari

Ramadhan Kareem!
Mmh
 
Gharama za hizi futari huwa analipa kwa mshahara wake au kwa salio Ikulu?
Kama kwa mshahara wake anapata thawabu.
Kama kwa tozo za serikali basi I we inasomeka Ikulu/Serikali imeandaa futari.
 
Gharama za hizi futari huwa analipa kwa mshahara wake au kwa salio Ikulu?
Kama kwa mshahara wake anapata thawabu.
Kama kwa tozo za serikali basi I we inasomeka Ikulu/Serikali imeandaa futari.
Absolutely true
 
Back
Top Bottom