Spika Ndugai: PhD zina manufaa kwenye kufundisha na kutafiti lakini siyo bungeni, Dkt. Ndugulile aliwahi kumuita Waziri Profesa Ziro

Spika anatetea kile kilichopo kwneye jimbo lake. Ni wivu tu. Ameshindwa kuwashawishi watu wake wasome na wapige hatua, sasa anaona nongwa kwa majimbo mengine ambayo yametoa watu wengi wasomi.
Akimpongeza mbunge wa Mtera mh Lusinde kwa uchambuzi mzuri wa hotuba ya Waziri Mkuu uliotumia dakika 15 Spika Ndugai amesema Kibajaj anawazidi wasomi wengi mle bungeni.

Spika amesema bungeni yanahitajika maarifa huo uprofesa ni kwa ajili ya kufundisha na kufanya tafiti hivyo katika siasa uprofesa hauna maana yoyote.

Ndio maana wabunge watatu wamewaponda maprofesa tukianza na Kishimba, Kibajaji na kuna wakati Dr Ndugulile aliwahi kumuita waziri fulani Profesa Ziro nikamtoa nje haa haaa amecheka Ndugai.

Ndugai amewataka maprofesa kuwa makini wanapohutubia bungeni kwani darasa la 7 akina Kibajaji, Msukuma Tabasamu, Jah people, Kiinanasi, Babu Tale nk nk wako makini kweli.

Chanzo: TBC

My take; Mbona wabunge wa darasa la 7 ni wanaume watupu!
 
Aisee kazi ipo kama spika anaongea hivyo huku vijiweni si ndio kuna pumba balaa...wazungu wakisikia hivyo wanandaa mikataba haraka haraka sana wakijua wale watapiga makofi na kupitisha tuu...
 
Yaani mama alivyowaambia waache "kudemka" hawakummuelewa??
 
Mwenye CV ya

Spika Ndugai tafadhali.​

Spika ni Daktari wa wanyama.
FB_IMG_16177068210644910.jpg
 
Akimpongeza mbunge wa Mtera mh Lusinde kwa uchambuzi mzuri wa hotuba ya Waziri Mkuu uliotumia dakika 15 Spika Ndugai amesema Kibajaj anawazidi wasomi wengi mle bungeni.

Spika amesema bungeni yanahitajika maarifa huo uprofesa ni kwa ajili ya kufundisha na kufanya tafiti hivyo katika siasa uprofesa hauna maana yoyote.

Ndio maana wabunge watatu wamewaponda maprofesa tukianza na Kishimba, Kibajaji na kuna wakati Dr Ndugulile aliwahi kumuita waziri fulani Profesa Ziro nikamtoa nje haa haaa amecheka Ndugai.

Ndugai amewataka maprofesa kuwa makini wanapohutubia bungeni kwani darasa la 7 akina Kibajaji, Msukuma Tabasamu, Jah people, Kiinanasi, Babu Tale nk nk wako makini kweli.

Chanzo: TBC

My take; Mbona wabunge wa darasa la 7 ni wanaume watupu!
Kwa tanzania ya kipindi kifupi kilicho pita ni kweli huo uprof na hats udoc ulipoteza Mana keanu walilazimishwa kutumikia na kufikiri kwa kutumia tumbo badala ya akili na mifano mingi tu ipo,akina leproffeser yule wa chama moja wapo,yule wa jalala na wale waliojazwa kwenye sii hasa katika kipindi kifupi kilicho pita,au wale waliotumiwa katika sii hasa wakiwa kwenye taaluma zao.
 
Ila darasa la 7 ku Hustle mpaka kupata ubunge hiyo nayo ni zaidi ya PhD.Ni kitu ambacho kimewashinda wasomi wengi!
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom