GUI
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 1,847
- 1,299
Kwani hapo kuna cha kuangalia katiba mkuu. Anajua mwenyewe akili yakeUwezo huo huna maana ni katiba ya nchi ndo inaruhusu wabunge kuongea,
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyerere alishaiona hii katiba yetu inawafanya viongozi wengi kuwa nusu mungu,na ndio maana spika anakiburi cha shetani
Sent using Jamii Forums mobile app
mzuie tuoneSpika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai amezidi kumuonya mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe kwa kauli zake za kudhalilisha Mhimili wa Bunge na kumwambia kuwa anao uwezo wa kumzuia kutozungumza Bungeni chochote miaka yote ya Bunge.
"Nimwambie Zitto hawezi pambana na Spika, nina uwezo kumzuia kuongea hadi mwisho wa ubunge wake na asiende kokote", alisema Ndugai.