Spika Ndugai: Nimechaguliwa na watu 400,000 kuwa mbunge kwa miaka 25, mara mbili nimepita bila kupingwa, unaniita ZUZU?

Ni upumbavu kujigamba umechaguliwa wakati maujinga mengi mara kuiba kura, mara kuwaengua wagombea wa upande wa pili, mara kuruhusu wabunge wasio na chama ni ujinga, jitafakari.
 
Prof. Jafar ( Musa) Assad atapigwa rungu moja kwishaaa, Ndugai anapiga, mpeni tahadhari plz

Prof Jafar Musa naye zuzu kubwa sanaa kazi kuiba majina ya watu tu, alafu huyu Prof afanyiwe vetting upya. Kafoji jina kachukua jina la mtu mwingine, kumbe yeye sio Musa ni Jafar, kasema mwenyewe, hapa kuna case ya kujibu kubwaa
Umeungana na Ma Zuzu wa Kongwa
 
Mbona ni jina zuri tu linamfaa tozo zote si wamepitishia huko akakubali, sheria gandamizi ya vyama vya siasa zimepitia kwake hivo ndivo historia itakavyomkumbuka wala asikasirike
 
Ndugai usilalamike kabisa kwanza wewe ndio chanzo cha matatizo ya bunge kuonekana hivyo!
Hata suala la Komred Assad wewe ndie mharibifu wa taratibu na kanuni za CAG.
Hata bunge unaloliongoza limekuwa kituko kuliko kipindi chote tangu lianzishwe!
Iwapo amepelekea bunge kukosa kuheshimika basi ni zaidi ya zuzu... Ni ZOBA
 
Yale matokeo ya mahojiano na Asad akasema hata fanya kazi nae ilikuwa maamuzi ya kizuzu pia maana hayakuwa na maana yoyote

Ndugai ni zuzu kitambo tu
 
Kama sabufa sio zuzu atuonyeshe alichofanya kongwa kwa miaka 25.
Maji bado wananchi wanabeba na punda
 
Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema anakerwa na tabia ya baadhi ya watu kuwaita wabunge mazuzu na kuwataka wajenge utamaduni wa kuheshimiana.

Akifungua wiki ya AZAKI jijini Dodoma Jumamosi Oktoba 23, Ndugai amesema, “Sio unaitwa Azaki basi unawasema wenzako maneno unayotaka ya hovyo. Tumewahi kugombana na baadhi ya wazee, mzee unatuita jina sisi hatulipendi…Hivi tumekosea wapi kama unamuita mtu jina la Juma anasema mimi jina hilo silitaki.

“Tatizo lako nini? Unang’anga’ania kuita hilo jina, we ni nani? Haiwezekani kama mwanadamu akikwambia hiki sina raha nacho kiache na wewe hukiachi, kama kweli wewe ni muungwana mtu wa Mungu utakiacha.”

Amesema matokeo ya kutoheshimiana ni wazee (ambao hakuwataja) wanawasema wabunge ni mazuzu wakati wana akili.

Amesema wao hawana muda wa kubishana bishana na watu wana namna hiyo.

Amesema yeye amechaguliwa na watu 400,000 kuwa mbunge kwa miaka 25 katika chaguzi mbalimbali na tena mara mbili amepita bila kupingwa.

“Hata kesho nikienda kusimama (kugombea) tafuta wa kusimama na mimi hutampata. Akisimama ni mpambe wa kusindikiza. Halafu wewe unaniita zuzu yaani wale watu una maanisha ni mazuzu wamechagua zuzu mwenzao?”amehoji.

Ndugai alipongeza Azaki kwa kazi nzuri wanazofanya lakini akasema wachache wao wamekuwa wakitumika na wana ajenda zisizokuwa za kwao na kwamba Azaki chache zimekuwa na ajenda za kupata fedha kutoka mahali fulani (hakukutaja).

“Sasa kama we njaa yako ni hela ndio maana lazima zitungwe sheria sasa zinazokufuata kwenye hela. Eeeeh utatuambia nani amekupa, kiasi gani, ziko wapi, utazitumiaje na utaleta taarifa kwa kila shilingi zamani haikuwa hivyo tuliaminiana lakini baada ya kuona mwenendo usio ridhisha ndio tukatunga sheria,”amesema.

Ndugai amesema kama wasipoweka sera ya kuambiana na kurekebishana (wao kwa wao mashirika) basi hata sheria zitakazotungwa siku za usoni zitakuwa kali zaidi.
Dalili ya uzuzu ni kutoheshimu katiba aliyoapa kuilinda.
 
Kweli kila zama na kitabu chake. Leo hii Ndugai anapiga yowe bila kuchukua hatua zidi ya Assad,ingekuwa kipindi cha Kayafa sasa hivi Assad angekuwa mikononi mwa Polisi kwa amri ya Ndugai. Haya ni maneno ya Ndugai.

"Kuna Mzee anatukosea sana Wabunge,anatuita mazuzu,nina miaka 25 pale Kongwa na vipindi viwili nimepita bila kupingwa,na hata kesho nikienda nitapita bila kupingwa,kwanini uniite zuzu? Wananchi wa Kongwa ni mazuzu wamechagua zuzu mwenzao?"

Credit: Dar Mpya.



Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wote Assad , Jenerali Ulimwengu pamoja na Ndugai wote akili zao ziko sawa, sijui niwaite kama aliyekuwa msemaji wa wekundu wa Msimbazi alivyowaita waandishi wa habari?
 
Uzuri wa Assad sio mnafiki au muoga.......kipindi kile kile Ndugai akiwa na mtetezi wake bwana mwendazake pro.bila uoga alimwita Job na bunge lake kuwa dhaifu ,na hivi mtetezi wake hayupo akae kwa kutulia tuu na ataitwa majina yoote
 
Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema anakerwa na tabia ya baadhi ya watu kuwaita wabunge mazuzu na kuwataka wajenge utamaduni wa kuheshimiana.

Akifungua wiki ya AZAKI jijini Dodoma Jumamosi Oktoba 23, Ndugai amesema, “Sio unaitwa Azaki basi unawasema wenzako maneno unayotaka ya hovyo. Tumewahi kugombana na baadhi ya wazee, mzee unatuita jina sisi hatulipendi…Hivi tumekosea wapi kama unamuita mtu jina la Juma anasema mimi jina hilo silitaki.

“Tatizo lako nini? Unang’anga’ania kuita hilo jina, we ni nani? Haiwezekani kama mwanadamu akikwambia hiki sina raha nacho kiache na wewe hukiachi, kama kweli wewe ni muungwana mtu wa Mungu utakiacha.”

Amesema matokeo ya kutoheshimiana ni wazee (ambao hakuwataja) wanawasema wabunge ni mazuzu wakati wana akili.

Amesema wao hawana muda wa kubishana bishana na watu wana namna hiyo.

Amesema yeye amechaguliwa na watu 400,000 kuwa mbunge kwa miaka 25 katika chaguzi mbalimbali na tena mara mbili amepita bila kupingwa.

“Hata kesho nikienda kusimama (kugombea) tafuta wa kusimama na mimi hutampata. Akisimama ni mpambe wa kusindikiza. Halafu wewe unaniita zuzu yaani wale watu una maanisha ni mazuzu wamechagua zuzu mwenzao?”amehoji.

Ndugai alipongeza Azaki kwa kazi nzuri wanazofanya lakini akasema wachache wao wamekuwa wakitumika na wana ajenda zisizokuwa za kwao na kwamba Azaki chache zimekuwa na ajenda za kupata fedha kutoka mahali fulani (hakukutaja).

“Sasa kama we njaa yako ni hela ndio maana lazima zitungwe sheria sasa zinazokufuata kwenye hela. Eeeeh utatuambia nani amekupa, kiasi gani, ziko wapi, utazitumiaje na utaleta taarifa kwa kila shilingi zamani haikuwa hivyo tuliaminiana lakini baada ya kuona mwenendo usio ridhisha ndio tukatunga sheria,”amesema.

Ndugai amesema kama wasipoweka sera ya kuambiana na kurekebishana (wao kwa wao mashirika) basi hata sheria zitakazotungwa siku za usoni zitakuwa kali zaidi.
Umechaguliwa na watu 400K wa aina gani? Wakati uliiba kura wewe Ndugai, ukapiga mtu kwa fimbo, akakaribia afe. Wewe hukushinda katika kipindi kilichopita, uliiba kura wewe Ndugai.
 
Prof. Jafar ( Musa) Assad atapigwa rungu moja kwishaaa, Ndugai anapiga, mpeni tahadhari plz

Prof Jafar Musa naye zuzu kubwa sanaa kazi kuiba majina ya watu tu, alafu huyu Prof afanyiwe vetting upya. Kafoji jina kachukua jina la mtu mwingine, kumbe yeye sio Musa ni Jafar, kasema mwenyewe, hapa kuna case ya kujibu kubwaa
Ndio ujie anajiamini na ana character mpaka amesema ukweli mwenyewe na kueleza jamii kilicho kweli kuhusu yeye ... Mpaka hapo Jana baya
 
Kweli kila zama na kitabu chake. Leo hii Ndugai anapiga yowe bila kuchukua hatua zidi ya Assad,ingekuwa kipindi cha Kayafa sasa hivi Assad angekuwa mikononi mwa Polisi kwa amri ya Ndugai. Haya ni maneno ya Ndugai.

"Kuna Mzee anatukosea sana Wabunge,anatuita mazuzu,nina miaka 25 pale Kongwa na vipindi viwili nimepita bila kupingwa,na hata kesho nikienda nitapita bila kupingwa,kwanini uniite zuzu? Wananchi wa Kongwa ni mazuzu wamechagua zuzu mwenzao?"

Credit: Dar Mpya.



Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂
 
Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema anakerwa na tabia ya baadhi ya watu kuwaita wabunge mazuzu na kuwataka wajenge utamaduni wa kuheshimiana.

Akifungua wiki ya AZAKI jijini Dodoma Jumamosi Oktoba 23, Ndugai amesema, “Sio unaitwa Azaki basi unawasema wenzako maneno unayotaka ya hovyo. Tumewahi kugombana na baadhi ya wazee, mzee unatuita jina sisi hatulipendi…Hivi tumekosea wapi kama unamuita mtu jina la Juma anasema mimi jina hilo silitaki.

“Tatizo lako nini? Unang’anga’ania kuita hilo jina, we ni nani? Haiwezekani kama mwanadamu akikwambia hiki sina raha nacho kiache na wewe hukiachi, kama kweli wewe ni muungwana mtu wa Mungu utakiacha.”

Amesema matokeo ya kutoheshimiana ni wazee (ambao hakuwataja) wanawasema wabunge ni mazuzu wakati wana akili.

Amesema wao hawana muda wa kubishana bishana na watu wana namna hiyo.

Amesema yeye amechaguliwa na watu 400,000 kuwa mbunge kwa miaka 25 katika chaguzi mbalimbali na tena mara mbili amepita bila kupingwa.

“Hata kesho nikienda kusimama (kugombea) tafuta wa kusimama na mimi hutampata. Akisimama ni mpambe wa kusindikiza. Halafu wewe unaniita zuzu yaani wale watu una maanisha ni mazuzu wamechagua zuzu mwenzao?”amehoji.

Ndugai alipongeza Azaki kwa kazi nzuri wanazofanya lakini akasema wachache wao wamekuwa wakitumika na wana ajenda zisizokuwa za kwao na kwamba Azaki chache zimekuwa na ajenda za kupata fedha kutoka mahali fulani (hakukutaja).

“Sasa kama we njaa yako ni hela ndio maana lazima zitungwe sheria sasa zinazokufuata kwenye hela. Eeeeh utatuambia nani amekupa, kiasi gani, ziko wapi, utazitumiaje na utaleta taarifa kwa kila shilingi zamani haikuwa hivyo tuliaminiana lakini baada ya kuona mwenendo usio ridhisha ndio tukatunga sheria,”amesema.

Ndugai amesema kama wasipoweka sera ya kuambiana na kurekebishana (wao kwa wao mashirika) basi hata sheria zitakazotungwa siku za usoni zitakuwa kali zaidi.
Ndungai ni zuzu tu maana mambo yake yamejaa kizuzu tu
 
Amesema yeye amechaguliwa na watu 400,000 kuwa mbunge kwa miaka 25 katika chaguzi mbalimbali na tena mara mbili amepita bila kupingwa. “Hata kesho nikienda kusimama (kugombea) tafuta wa kusimama na mimi hutampata.

Ndio kupita bila kupingwa huku?

1635070551104.png
 
Kweli kabisa, ukiitwa Juma ni sawa na senge hivi.. Jina la hovyo sana na la kimaskini kabisa.

CAG Jafar Musa Assad njoo huku, umezidi kutoa maneno machafu, mzee mzima jina lenyewe feki, kumbe sio Musa ni Jafar.

Ila Prof wengine kichwani akili hakuna kabisa, kama Juma tu
Hivi Farah Aideed amewahi kuongoza nchi gani?
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom