Spika Ndugai: Nimechaguliwa na watu 400,000 kuwa mbunge kwa miaka 25, mara mbili nimepita bila kupingwa, unaniita ZUZU?

Ndugai usilalamike kabisa kwanza wewe ndio chanzo cha matatizo ya bunge kuonekana hivyo!
Hata suala la Komred Assad wewe ndie mharibifu wa taratibu na kanuni za CAG.
Hata bunge unaloliongoza limekuwa kituko kuliko kipindi chote tangu lianzishwe!
 
Yaan katika wabunge 359+ hakuna mtu anaezungumza lugha ya wananchi ila wanazungumza lugha yao ambayo wananchi wanna jarb kujiuliza hakuna mtu anaongelea Leo namn ambavyo wamachinga wanapata wanakuwa wakimbizi kwenye nchi yao,

Viongoz woooteee wamepigwa ganzi, hakuna ambae hata kusema tu hkuna, halafu watu waache kuwaita majina yanayowafaa??

Na signout
Mimi nimeuza Matunda na masimba chipsi mitaani yaani Johnesburg South miaka minne sikuwahi kubugudhiwa na Metro. Na mpaka leo hii kuna Watanzania wengi mpaka leo wanafanya biashara mitani bila shida yoyote ile.
Wamachinga hawakutendewa haki kabisa
 
Kweli kila zama na kitabu chake. Leo hii Ndugai anapiga yowe bila kuchukua hatua zidi ya Assad,ingekuwa kipindi cha Kayafa sasa hivi Assad angekuwa mikononi mwa Polisi kwa amri ya Ndugai. Haya ni maneno ya Ndugai.

"Kuna Mzee anatukosea sana Wabunge,anatuita mazuzu,nina miaka 25 pale Kongwa na vipindi viwili nimepita bila kupingwa,na hata kesho nikienda nitapita bila kupingwa,kwanini uniite zuzu? Wananchi wa Kongwa ni mazuzu wamechagua zuzu mwenzao?"

Credit: Dar Mpya.



Sent using Jamii Forums mobile app
He who laughs last, laughs best.

zuzu1 nomino 5/6, animate

imbecile, fool, simpleton, idiot

mazuzu uwingi 5/6, animate Angalia umoja zuzu1
imbeciles, fools, simpletons, idiots
zuzu2 kivumishi

ignorant, inexperienced, oblivious
 
Kweli kila zama na kitabu chake. Leo hii Ndugai anapiga yowe bila kuchukua hatua zidi ya Assad,ingekuwa kipindi cha Kayafa sasa hivi Assad angekuwa mikononi mwa Polisi kwa amri ya Ndugai. Haya ni maneno ya Ndugai.

"Kuna Mzee anatukosea sana Wabunge,anatuita mazuzu,nina miaka 25 pale Kongwa na vipindi viwili nimepita bila kupingwa,na hata kesho nikienda nitapita bila kupingwa,kwanini uniite zuzu? Wananchi wa Kongwa ni mazuzu wamechagua zuzu mwenzao?"

Credit: Dar Mpya.



Sent using Jamii Forums mobile app
Mjinga wewe bila kumhusisha Hayati Magufuli kwenye sentesi zako huridhiki, badilika.
 
Kweli kila zama na kitabu chake. Leo hii Ndugai anapiga yowe bila kuchukua hatua zidi ya Assad,ingekuwa kipindi cha Kayafa sasa hivi Assad angekuwa mikononi mwa Polisi kwa amri ya Ndugai. Haya ni maneno ya Ndugai.

"Kuna Mzee anatukosea sana Wabunge,anatuita mazuzu,nina miaka 25 pale Kongwa na vipindi viwili nimepita bila kupingwa,na hata kesho nikienda nitapita bila kupingwa,kwanini uniite zuzu? Wananchi wa Kongwa ni mazuzu wamechagua zuzu mwenzao?"

Credit: Dar Mpya.



Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana Prof. Assad aka Simba
 
Suala la kuwa zuzu halina ubishi wowote ule, pengine achague neno la Kiingereza kati ya "idiot" ama "imbecile" ambalo anahisi pengine linamfaa zaidi.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Kweli kila zama na kitabu chake. Leo hii Ndugai anapiga yowe bila kuchukua hatua zidi ya Assad,ingekuwa kipindi cha Kayafa sasa hivi Assad angekuwa mikononi mwa Polisi kwa amri ya Ndugai. Haya ni maneno ya Ndugai.

"Kuna Mzee anatukosea sana Wabunge,anatuita mazuzu,nina miaka 25 pale Kongwa na vipindi viwili nimepita bila kupingwa,na hata kesho nikienda nitapita bila kupingwa,kwanini uniite zuzu? Wananchi wa Kongwa ni mazuzu wamechagua zuzu mwenzao?"

Credit: Dar Mpya.



Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati mwingine wanasiasa wetu wanatakiwa wawe na akili pamoja na busara japo kidogo.Ndugai ni Spika na kwa katiba na sheria za sasa hawezi kushtakiwa kokote.Akimaliza muda wake marupurupu aliyonayo haitatokea akawaz nitakula nini.
Busara ni kunyamaza na kula kimya kimya.
 
Ndugai kumbuka wewe kama ni heshima sidhani kama unastahili hata kdg!
Huna historia njemas ya kuja kukumbukwa nayo tofauti na ma-spika waliopita.
Sana sana 'mabilioni yetu kule India' na ulivyotaka kumuua Dr Chilongani kwa rungu
 
Back
Top Bottom