Imeshangaza sana leo ndungai amekua mtu wa kulia namna hii.Kwa sasa hawezi kumsumbua tena Assad kwa sababu CCM inaweza ikamhitaji huyo huyo alhaj Assad kuwa Spika wa bunge lijalo.
Mimi nimeuza Matunda na masimba chipsi mitaani yaani Johnesburg South miaka minne sikuwahi kubugudhiwa na Metro. Na mpaka leo hii kuna Watanzania wengi mpaka leo wanafanya biashara mitani bila shida yoyote ile.Yaan katika wabunge 359+ hakuna mtu anaezungumza lugha ya wananchi ila wanazungumza lugha yao ambayo wananchi wanna jarb kujiuliza hakuna mtu anaongelea Leo namn ambavyo wamachinga wanapata wanakuwa wakimbizi kwenye nchi yao,
Viongoz woooteee wamepigwa ganzi, hakuna ambae hata kusema tu hkuna, halafu watu waache kuwaita majina yanayowafaa??
Na signout
He who laughs last, laughs best.Kweli kila zama na kitabu chake. Leo hii Ndugai anapiga yowe bila kuchukua hatua zidi ya Assad,ingekuwa kipindi cha Kayafa sasa hivi Assad angekuwa mikononi mwa Polisi kwa amri ya Ndugai. Haya ni maneno ya Ndugai.
"Kuna Mzee anatukosea sana Wabunge,anatuita mazuzu,nina miaka 25 pale Kongwa na vipindi viwili nimepita bila kupingwa,na hata kesho nikienda nitapita bila kupingwa,kwanini uniite zuzu? Wananchi wa Kongwa ni mazuzu wamechagua zuzu mwenzao?"
Credit: Dar Mpya.
Sent using Jamii Forums mobile app
zuzu2 kivumishi
Mjinga wewe bila kumhusisha Hayati Magufuli kwenye sentesi zako huridhiki, badilika.Kweli kila zama na kitabu chake. Leo hii Ndugai anapiga yowe bila kuchukua hatua zidi ya Assad,ingekuwa kipindi cha Kayafa sasa hivi Assad angekuwa mikononi mwa Polisi kwa amri ya Ndugai. Haya ni maneno ya Ndugai.
"Kuna Mzee anatukosea sana Wabunge,anatuita mazuzu,nina miaka 25 pale Kongwa na vipindi viwili nimepita bila kupingwa,na hata kesho nikienda nitapita bila kupingwa,kwanini uniite zuzu? Wananchi wa Kongwa ni mazuzu wamechagua zuzu mwenzao?"
Credit: Dar Mpya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana Prof. Assad aka SimbaKweli kila zama na kitabu chake. Leo hii Ndugai anapiga yowe bila kuchukua hatua zidi ya Assad,ingekuwa kipindi cha Kayafa sasa hivi Assad angekuwa mikononi mwa Polisi kwa amri ya Ndugai. Haya ni maneno ya Ndugai.
"Kuna Mzee anatukosea sana Wabunge,anatuita mazuzu,nina miaka 25 pale Kongwa na vipindi viwili nimepita bila kupingwa,na hata kesho nikienda nitapita bila kupingwa,kwanini uniite zuzu? Wananchi wa Kongwa ni mazuzu wamechagua zuzu mwenzao?"
Credit: Dar Mpya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Malipo ni hapa hapa duniani!Imeshangaza sana leo ndungai amekua mtu wa kulia namna hii.
hamna, hawafanani.Hahahaaaa......wewe unaona hawafanani?!
Wakati mwingine wanasiasa wetu wanatakiwa wawe na akili pamoja na busara japo kidogo.Ndugai ni Spika na kwa katiba na sheria za sasa hawezi kushtakiwa kokote.Akimaliza muda wake marupurupu aliyonayo haitatokea akawaz nitakula nini.Kweli kila zama na kitabu chake. Leo hii Ndugai anapiga yowe bila kuchukua hatua zidi ya Assad,ingekuwa kipindi cha Kayafa sasa hivi Assad angekuwa mikononi mwa Polisi kwa amri ya Ndugai. Haya ni maneno ya Ndugai.
"Kuna Mzee anatukosea sana Wabunge,anatuita mazuzu,nina miaka 25 pale Kongwa na vipindi viwili nimepita bila kupingwa,na hata kesho nikienda nitapita bila kupingwa,kwanini uniite zuzu? Wananchi wa Kongwa ni mazuzu wamechagua zuzu mwenzao?"
Credit: Dar Mpya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaiangalie tena picha ya tumbili akiwa anacheka!hamna, hawafanani.
Kafurila ni Dc na TUMBILI yupo ukoo kwenye mbugani.
au we ulishaona wapi TUMBILI akawa DC?βΊοΈβΊοΈβΊοΈ
He who laughs last, laughs best.
zuzu1 nomino 5/6, animate
imbecile, fool, simpleton, idiot
zuzu2 kivumishi
ignorant, inexperienced, oblivious