Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,106
- 35,036
Wakikujibu hili jambo basi nitag.Tozo ililetwa kwaajili ya kujenga madarasa, barabara, hospitali nk
Tumeenda kukopa hela kwaajili ya kujengea madarasa, sasa pesa ya tozo inaenda wapi?inafanya kazi gani?
Hili swali ni kama halina majibu mpaka sasa.