Spika Ndugai: Nampa onyo kali Jenerali Ulimwengu kuchunga ulimi wake, haipendezi mtu wa umri wake kuwa anaongea ovyo ovyo

Mpeni_taarifa_Job_Ndugai_kwamba_kushoto_mwa_picha_hii_ni_Jenerali_Ulimwemgu_akiwa_na_Hayati_Mu...jpg


Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Bila hiyana kabisa uwe upinzani, uwe CCM au usiyekua na Chama hebu sema toka moyoni mwako, Spika wa bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania ana msaada gani katika taifa hili? Amefanya kipi ambacho mtu unaweza kusema ni Unique na cha pekee kulivusha taifa hili?

Katika kipindi chake chote tumeona tumeona tumia tumia ya ya wapinzani bungeni, kuwavua wabunge nyadhifa zao bila kufuata kanuni, kuongozwa na jazba,Wivu, maneno makali yaliyojaa vitisho kwa baadhi ya watu wanaomkosoa kwa matendo yake. Bunge lenyewe siyo live ni kama vile lipo gizani wananchi hawajui kama linaendelea.
Mpaka sasa kwenye bunge la Ndungai kuna wabunge 19 wasiokua na chama cha siasa kinyume kabisa na na sheria na katiba ya nchi wanatafuna pesa za walipa kodi bila sababu na anawatetea, huu ni spika wa aina gani? Ana manufaa gani katika taifa?

Tumeona katika bunge la Marehemu Samwel Sitta na Mama Anne Makinda mabunge yao litawaliwa na demokrasia,busara na hekima, ushirikiano mkubwa baina ya wabunge wa chama tawala na upinzani, walikua na maneno ya kistaarabu yaliyojaa utu.
Wakati wa maspika hawa mianya mingi ya Rushwa na ufisadi viliibuliwa kama vile IPTL, RICHMOND na ESCROW. Bunge lilikua live,Tuliona wabunge walivyoismamia na kuiwajibisha serikali katika kipindi hicho na ndiyo maana kulikua na reflection kubwa ya ukuaji wa uchumi na maisha halisi ya watu. Hii ndiyo Uniqueness yao kubwa katika kipindi chako na kwa namna moja au nyingine walilitendea makuu taifa leo tofauti na huyu mzee wa vitisho.
 
Bila hiyana kabisa uwe upinzani, uwe CCM au usiyekua na Chama hebu sema toka moyoni mwako, Spika wa bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania ana msaada gani katika taifa hili? Amefanya kipi ambacho mtu unaweza kusema ni Unique na cha pekee kulivusha taifa hili?

Katika kipindi chake chote tumeona tumeona tumia tumia ya ya wapinzani bungeni, kuwavua wabunge nyadhifa zao bila kufuata kanuni, kuongozwa na jazba,Wivu, maneno makali yaliyojaa vitisho kwa baadhi ya watu wanaomkosoa kwa matendo yake. Bunge lenyewe siyo live ni kama vile lipo gizani wananchi hawajui kama linaendelea.
Mpaka sasa kwenye bunge la Ndungai kuna wabunge 19 wasiokua na chama cha siasa kinyume kabisa na na sheria na katiba ya nchi wanatafuna pesa za walipa kodi bila sababu na anawatetea, huu ni spika wa aina gani? Ana manufaa gani katika taifa?

Tumeona katika bunge la Marehemu Samwel Sitta na Mama Anne Makinda mabunge yao litawaliwa na demokrasia,busara na hekima, ushirikiano mkubwa baina ya wabunge wa chama tawala na upinzani, walikua na maneno ya kistaarabu yaliyojaa utu.
Wakati wa maspika hawa mianya mingi ya Rushwa na ufisadi viliibuliwa kama vile IPTL, RICHMOND na ESCROW. Bunge lilikua live,Tuliona wabunge walivyoismamia na kuiwajibisha serikali katika kipindi hicho na ndiyo maana kulikua na reflection kubwa ya ukuaji wa uchumi na maisha halisi ya watu. Hii ndiyo Uniqueness yao kubwa katika kipindi chako na kwa namna moja au nyingine walilitendea makuu taifa leo tofauti na huyu mzee wa vitisho.
Nakubaliana na wewe, lakini huwezi kumlalamikia Ndugai, halafu ukaridhika na waliomuweka hapo alipo kwa sababu zao wazijuazo wenyewe, huku wakijua ni mtu asiye sifa za uongozi.

Wabunge (wa kuteuliwa), si walipiga kura?

Chama, CCM hakikuwa na mkono wake katika uteuzi wa huyu zuzu?

Kwa hiyo, tukiwa tunamlalamikia mhusika, tusisahau kwamba yupo hapo/kawekwa hapo kwa sababu maalum, vinginevyo asingeweza kuwa hapo alipo.

Tuanpotafuta tatizo lilipo ili tuondoe hilo tatizo, haisaidii chochote kujifanya tatizo ni nani kaliweka hapo.
Ndugai amefika hapo na yupo hapo kwa sababu alikidhi vigezo vya waliomuweka hapo. Yeye kama yeye Hana uwezo wa kuwa hapo alipo.
 
Nakubaliana na wewe, lakini huwezi kumlalamikia Ndugai, halafu ukaridhika na waliomuweka hapo alipo kwa sababu zao wazijuazo wenyewe, huku wakijua ni mtu asiye sifa za uongozi.

Wabunge (wa kuteuliwa), si walipiga kura?

Chama, CCM hakikuwa na mkono wake katika uteuzi wa huyu zuzu?

Kwa hiyo, tukiwa tunamlalamikia mhusika, tusisahau kwamba yupo hapo/kawekwa hapo kwa sababu maalum, vinginevyo asingeweza kuwa hapo alipo.

Tuanpotafuta tatizo lilipo ili tuondoe hilo tatizo, haisaidii chochote kujifanya tatizo ni nani kaliweka hapo.
Yawezekana CCM ya enzi za kina Sitta na Makinda ilikua imara na ahueni kidogo kuliko hii iliyoundwa na Mwendazake
 
Bila hiyana kabisa uwe upinzani, uwe CCM au usiyekua na Chama hebu sema toka moyoni mwako, Spika wa bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania ana msaada gani katika taifa hili? Amefanya kipi ambacho mtu unaweza kusema ni Unique na cha pekee kulivusha taifa hili?

Katika kipindi chake chote tumeona tumeona tumia tumia ya ya wapinzani bungeni, kuwavua wabunge nyadhifa zao bila kufuata kanuni, kuongozwa na jazba,Wivu, maneno makali yaliyojaa vitisho kwa baadhi ya watu wanaomkosoa kwa matendo yake. Bunge lenyewe siyo live ni kama vile lipo gizani wananchi hawajui kama linaendelea.
Mpaka sasa kwenye bunge la Ndungai kuna wabunge 19 wasiokua na chama cha siasa kinyume kabisa na na sheria na katiba ya nchi wanatafuna pesa za walipa kodi bila sababu na anawatetea, huu ni spika wa aina gani? Ana manufaa gani katika taifa?

Tumeona katika bunge la Marehemu Samwel Sitta na Mama Anne Makinda mabunge yao litawaliwa na demokrasia,busara na hekima, ushirikiano mkubwa baina ya wabunge wa chama tawala na upinzani, walikua na maneno ya kistaarabu yaliyojaa utu.
Wakati wa maspika hawa mianya mingi ya Rushwa na ufisadi viliibuliwa kama vile IPTL, RICHMOND na ESCROW. Bunge lilikua live,Tuliona wabunge walivyoismamia na kuiwajibisha serikali katika kipindi hicho na ndiyo maana kulikua na reflection kubwa ya ukuaji wa uchumi na maisha halisi ya watu. Hii ndiyo Uniqueness yao kubwa katika kipindi chako na kwa namna moja au nyingine walilitendea makuu taifa leo tofauti na huyu mzee wa vitisho.
Tafuta kitabu au filamu ANIMAL FARM (Shamba la wanyama) kama kilivyotafsiriwa na Mwalimu Julius K. Nyerere humo utapata majibu yote kuanzia nia ya kudai Uhuru mpaka tulipofikia hivi sasa tukiwa hoi.
 
Ametoa onyo hilo leo Mjini Dodoma na amemtaka Ulimwengu kuacha mara moja kutoa lugha za dharau dhidi ya Mhimili wa Bunge. Bali hakusema ni hatua gani atachukua ikiwa Jenerali Ulimwengu atakaidi onyo hilo, ila anasema watapambana naye ndani na nje.

----+

Akizungumza katikati ya mjadala wa Marekebisho ya Sheria mbalimbali uliowasilishwa Bungeni, Spika Ndugai amesema Ulimwengu ambaye ni Mwandishi wa Habari Nguli amekuwa akilikashfu Bunge na Spika apendavyo.

"Jenerali amekuwa akilivunjia heshima Bunge na Spika pia, napenda kumpa onyo kali kuchunga ulimi wake, haipendezi Mtu wa umri wake kuwa anaongea ovyoovyo, akiendelea na sisi tutaacha ukimya itabidi Watu washughulike naye ndani na nje yaani Mahakamani, habari imfikie uvumilivu wetu umefika mwisho, sisi sio kama anavyodhani" Spika Ndugai

“Huyu mzee hivi karibuni amekuwa akiropoka ropoka sana...” - Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai, akitoa onyo aliloliita la mwisho kwa mwanahabari nguli Jenerali Ulimwengu na kumtaka kuacha tabia ya kukashfu watu na kuzivunjia heshima taasisi mbalimbali na kulidharau Bunge.

Pia soma: Uzee dawa: Msikilize Jenerali Ulimwengu
View attachment 2007798
John Heche (@HecheJohn) Tweeted:
Wale wapiga makofi bungeni na kumshamgilia Ndugai. Njoo mjifunze Jenerali Ulimwengu ni nani.
Kabla ya kutoka vijijini kwenu yeye alikua anaiwakilisha nchi yetu huko Duniani, kabla hajafikiria Ubunge wa kupora ambao hamkushinda yeye tayari alikua Mbunge maarufu. Tuheshimu watu. https://t.co/KRpvOcB4Sk
 
Ndugu gay hana msaada wowote. Nafikiri anatumikia tumbo lake na waliomuweka hapo na baada ya hapo anasubiri Mola amtwae!
 
Back
Top Bottom