Kabuche1977
JF-Expert Member
- Feb 10, 2009
- 564
- 225
Haijawahi tokea spika mbovu kama miaka hii mitano iliyopita. Mbona akina Mbiwe hawajauliza zike 27B za matibabu India? Au masharti ilikuwa ili asamehewe lazima awashambulie sana CHADEMA. Anazingua sana huyu mzee.