Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,935
- 6,844
Kwa nini nchi isimame wakati chama chenyewe kimeisha kufa?Tukitaja uozo wa Chadema Nchi itasimama
Amandla...
Kwa nini nchi isimame wakati chama chenyewe kimeisha kufa?Tukitaja uozo wa Chadema Nchi itasimama
Game zilikuwa zinapelekwa uwanja wa ugenini na hakuna washabiki wala tv...badala ya kumfyatulia marisasi hovyo Mbowe na kusababisha kifo cha Aquilina kwanini wasimtegeshee mbunge mmoja wa viti maalum na kumkamata kwa kesi ya ugoni au kubaka?
Bila shaka watajitokeza watakao thibitisha maneno ya Spika.Kwa miaka kadhaa, kumekuwa na minong´ono kuhusu mahusiano ya Mbowe na wanawake wanaotaka kuchaguliwa kwenye nafasi za viti maalum bungeni kwa tiketi ya chama cha Mbowe. Wapo wanaosemekana hata kumzawadia watoto.
Ila siku zote mamlaka za nchi hazijawahi kulitolea neno. Wakati wa ile kampeni iliyoanika matatizo ya ngono lazimishi wanawake wanazokutana nzao makazini na mashuleni/vyuoni, cha ajabu wanasiasa walikuwa kimya.
Lakini leo kwa mara ya kwanza nimemsikia Spika akiongea kuwa humo mjengoni hakuna siyejua shida wanazopitia wabunge wa viti maalum wa Chadema.
Imekuwa siri ya wazi na iliyokubalika kwa jamii kuwa ukitaka viti maalum Chadema, lazima Mwenyekiti na kambi yake waridhishwe na wewe.
Ila leo ndo mara ya kwanza kumsikia mkuu wa mhimili husika, kuashiria kujua hivyo viti maalum vinagawiwa kwa vigezo gani, ambavyo ni kinyume na katiba.
Swali langu kwa Spika;
Je, anaona ni sahihi kwa kiti chake kufumbia macho hilo swala?
Kama mzazi mwenye watoto wa kike na kiongozi mkuu wa huo mhimili, amechukuwa hatua gani kuwalinda hao akina dada na wadada wajao dhidi ya ukatili huo?
Mbowe je, uchaguzi huu wa 2020 atabadili vigezo au wembe ni ule ule?
Hizo shutuma ziko njiani...badala ya kumfyatulia marisasi hovyo Mbowe na kusababisha kifo cha Aquilina kwanini wasimtegeshee mbunge mmoja wa viti maalum na kumkamata kwa kesi ya ugoni au kubaka?
Ama mwaka huu tutashuhudia maajaby. Naona Ndugai amegeuka kuwa Msemaji was CCM badala ya kuwa Spika.Inaonesha anawatafuna sana
Sent from jamii forums
Naona kashindwa kumezea Siri kaamua kuzimwagaAma mwaka huu tutashuhudia maajaby. Naona Ndugai amegeuka kuwa Msemaji was CCM badala ya kuwa Spika.
Game zilikuwa zinapelekwa uwanja wa ugenini na hakuna washabiki wala tv.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mapenzi wanalazimika kudhalilishwa kulinda ubunge wao..basi hayo yatakuwa ni mapenzi.
..na siyo udhalilishaji wala jinai kama wanavyosema.
Duu aya bia mwaga povu tusikieMkuu Chadema kuna uozo mwingi sana sema tunanyamaza tu
Huyo ni Akili kubwa muda tu sizani Kama atabaki tena kwà Wahuni hukohivi Upendo Peneza yuko wapi?
Zamu hii kaingia kwenye 18 za Job!..kwa wanavyomuwinda Mbowe miaka yote hii wameshindwa kumkamata kwa UGONI?
.
Yuko kundi la wabunge 19 wanaohamia CCM tarehe 20/06/2020hivi Upendo Peneza yuko wapi?
Hakuna mapenzi wanalazimika kudhalilishwa kulinda ubunge wao
Sent from jamii forums
Mkuu umeanza lini kunyamaza juu ya ouzo wa Chadema?
Amandla...
Weee! Si kwamba wa upande wa pili hausemwi kwa kuwa unashikilia mpini?Mkuu Chadema kuna uozo mwingi sana sema tunanyamaza tu
Baada ya kuingiliwa faragha yake na beberuMkuu umeanza lini kunyamaza juu ya ouzo wa Chadema?
Amandla...
Zamu hii kaingia kwenye 18 za Job!
Chadema itabaki na Mbowe, Mdee na Heche tu!
Ni kweli..labda nyie hamjui kutongoza.
..mnabaki kuamini wenzenu wanahonga.