Kesi namba 12/2020 inayomkabili Spika wa Bunge, Job Ndugai imepangwa kuanza kusikilizwa Katika Mahakama Kuu ya Tanzania masijala ya Dar es salaam mnamo Juni 3 mwaka huu kuanzia saa tatu asubuhi hadi saa Saba.
Kesi hiyo ambayo imefunguliwa na Taasisi ya Haki za Kiraia na msaada wa Kisheria(CILAO) inaiomba Mahakama kutoa tafsiri kuhusu kitendo Cha Spika huyo kumruhusu Mbunge wa Ndanda, Mwambe kuendelea kuhudhuria vikao vya bunge ilhali alishatangaza kuhama Chama chake na kuhamia CCM.
Zaidi, soma: Kesi dhidi ya Spika Job Ndugai na Cecil Mwambe kutajwa kesho. Ni ile ya kuomba tafsiri ya Mahakama baada ya Mwambe kurudishwa Bungeni
Kesi hiyo ambayo imefunguliwa na Taasisi ya Haki za Kiraia na msaada wa Kisheria(CILAO) inaiomba Mahakama kutoa tafsiri kuhusu kitendo Cha Spika huyo kumruhusu Mbunge wa Ndanda, Mwambe kuendelea kuhudhuria vikao vya bunge ilhali alishatangaza kuhama Chama chake na kuhamia CCM.
Zaidi, soma: Kesi dhidi ya Spika Job Ndugai na Cecil Mwambe kutajwa kesho. Ni ile ya kuomba tafsiri ya Mahakama baada ya Mwambe kurudishwa Bungeni