Spika Ndugai na Bunge lake hawana taarifa ya kifo cha Ndesamburo?

Mzalendo2015

JF-Expert Member
Aug 14, 2012
6,697
9,048
Yale yaliyotokea Bungeni leo katika azimio la kuwafukuza Wabunge wa upinzani toka CHADEMA Bi Halima Mdee na Bi Esther Amos Bulaya ni kuonyesha kwamba Bunge chini ya Ndugai hawajui kama CHADEMA wana msiba mkubwa wa mwasisi wa chama chao Mbunge mstahafu ndugu Philemon Ndesamburo!

Hii imedhihirisha kuwa CCM wanawachukia wapinzani hasa CHADEMA na wanatamani hata leo hii Wabunge wote wa CHADEMA wapukutike wote!
Haiwezekani Kamati ya Haki na Maadili ya Bunge itoe mapendekezo ya adhabu hii kwa Wabunge hawa 2 walioko kwenye msiba huu mkubwa?

Nimesikiliza mapendekezo ya Kamati iliyoungwa mkono na asilimia kubwa ya Wabunge wa CCM! Inasikitisha kwamba Spika Ndugai na Mwenyekiti wa Kamati Mzee George Mkuchika hawakugusia chanzo cha tatizo lililopelekea vurugu hizo! Mbunge wa CCM aliwasha mic na kusema MNYIKA MWIZI,lakini si Spika wala Mkuchika aliyeonyesha juhudi za kumsaka huyo Mbunge wa CCM aliyeropoka hayo maneno! Spika anasema hawezi kuwa na masikio 100 ya kusikia kila Mbunge anachosema!!!Huu ni uongo wa Ndugai na ameonysha double standard, maana hayo maneo yangelisemwa na Mbungevwa upinzani leo asingelikuwa Bungeni! Mwenyekiti anadai kuwa swala la kujua chanzo au Mbunge aliyemwita Mnyika Mwizi haikuwepo kwenye hadidu za rejea!! This is rubbish! Kamati inasema iliangalia mkada wa video ili kujiridhisha kwa makosa ya hao Wabunge,inashangaza kuwa Kamati haikuona yote yaliyotamkwa na kichaa wao Lusinde na huyo aliyemwita Mnyika mwizi!!
Namaliza kwa kushauri Bulaya na Mdee waende Mahakamani maana haiwezekani Bunge liwe ni kila kitu! Kama Polisi wanakamata Mbunge na kumsweka Rimande na kushtakiwa Mahakamani iweje Mbunge akienda kulalamika Mahakamani aambiwe Mahakama haina mamlaka hayo??
Je, hivi leo ikitokea Mbunge akapigwa na Mbunge mwenzake wakiwa ndani Bunge akapoteza uhai, Bunge kwa kutumia Kamati ya Haki na Maadili ya Bunge wana uwezo wa kusikiliza murder au manslauter case??
Mdee,Bulaya na Mnyika tafuteni Haki yenu Mahakamani, Bunge is not a final judiciary machinery!!!
 
Yale yaliyotokea Bungeni leo katika azimio la kuwafukuza Wabunge wa upinzani toka CHADEMA Bi Halima Mdee na Bi Esther Amos Bulaya ni kuonyesha kwamba Bunge chini ya Ndugai hawajui kama CHADEMA wana msiba mkubwa wa mwasisi wa chama chao Mbunge mstahafu ndugu Philemon Ndesamburo!

Hii imedhihirisha kuwa CCM wanawachukia wapinzani hasa CHADEMA na wanatamani hata leo hii Wabunge wote wa CHADEMA wapukutike wote!
Haiwezekani Kamati ya Haki na Maadili ya Bunge itoe mapendekezo ya adhabu hii kwa Wabunge hawa 2 walioko kwenye msiba huu mkubwa?

Nimesikiliza mapendekezo ya Kamati iliyoungwa mkono na asilimia kubwa ya Wabunge wa CCM! Inasikitisha kwamba Spika Ndugai na Mwenyekiti wa Kamati Mzee George Mkuchika hawakugusia chanzo cha tatizo lililopelekea vurugu hizo! Mbunge wa CCM aliwasha mic na kusema MNYIKA MWIZI,lakini si Spika wala Mkuchika aliyeonyesha juhudi za kumsaka huyo Mbunge wa CCM aliyeropoka hayo maneno! Spika anasema hawezi kuwa na masikio 100 ya kusikia kila Mbunge anachosema!!!Huu ni uongo wa Ndugai na ameonysha double standard, maana hayo maneo yangelisemwa na Mbungevwa upinzani leo asingelikuwa Bungeni! Mwenyekiti anadai kuwa swala la kujua chanzo au Mbunge aliyemwita Mnyika Mwizi haikuwepo kwenye hadidu za rejea!! This is rubbish! Kamati inasema iliangalia mkada wa video ili kujiridhisha kwa makosa ya hao Wabunge,inashangaza kuwa Kamati haikuona yote yaliyotamkwa na kichaa wao Lusinde na huyo aliyemwita Mnyika mwizi!!
Namaliza kwa kushauri Bulaya na Mdee waende Mahakamani maana haiwezekani Bunge liwe ni kila kitu! Kama Polisi wanakamata Mbunge na kumsweka Rimande na kushtakiwa Mahakamani iweje Mbunge akienda kulalamika Mahakamani aambiwe Mahakama haina mamlaka hayo??
Je, hivi leo ikitokea Mbunge akapigwa na Mbunge mwenzake wakiwa ndani Bunge akapoteza uhai, Bunge kwa kutumia Kamati ya Haki na Maadili ya Bunge wana uwezo wa kusikiliza murder au manslauter case??
Mdee,Bulaya na Mnyika tafuteni Haki yenu Mahakamani, Bunge is not a final judiciary machinery!!!
Kama huyo Speaker alipata ubunge Kwa kumpiga mtu na fimbo bado tukaona anafaa kuwa Speaker, basi tumeleta laana katika Muhimili huu Muhimu.
 
Sehemu pekee iliyobaki Na kuongoza Kwa kula pesa zetu Na kufanya kazi bure ni mbuge LA sasa. halina maana ccm wamekaa kama magariba ubabe wakipuuzi Na undiyo bwana. sikutengemea baada ya uchanguzi tungekuwa Na bunge LA hovyo kama hili. Wanakubali kila jambo LA serikali ni bora rais afanye kazi peke take ajoshauri Na watu wake. They don't add any value.
 
Kwa hiyo ulitaka wasihukumiwe kisa wamefiwa?? tafuteni huruma nyingine lakini hiyo ya kufiwa haina mantiki.

Hakuna anayeomba huruma hapa!Tunachosema ni kwamba haya maamuzi ni ya kukurupuka,jazba,mihemko na hasira za kipuuzi! Kulikuwa na dharura gani kutoa maamuzi ya haraka haraka kana kwamba mwisho wa dunia ni leo?Busara inaonyesha kuwa Spika alitakiwa kutumia hikma na busara kwa kuwa na subra ili CHADEMA ikiwemo Wabunge watuhumiwa wamalize msiba wa kumzika mpendwa wao na warudi Bungeni ili washughulikiwe wakiwepo ikiwemo kupewa haki ya kusikilizwa(natural justice) ambayo ni haki ya msingi ya kila Raia!
 
Sehemu pekee iliyobaki Na kuongoza Kwa kula pesa zetu Na kufanya kazi bure ni mbuge LA sasa. halina maana ccm wamekaa kama magariba ubabe wakipuuzi Na undiyo bwana. sikutengemea baada ya uchanguzi tungekuwa Na bunge LA hovyo kama hili. Wanakubali kila jambo LA serikali ni bora rais afanye kazi peke take ajoshauri Na watu wake. They don't add any value.
kajifunze kuandika vizuri mkuu.
 
Hakuna anayeomba huruma hapa!Tunachosema ni kwamba haya maamuzi ni ya kukurupuka,jazba,mihemko ns hasira za kipuuzi! Kulikuwa na dharura gani kutoa maamuzi ya haraka haraka kana kwamba mwisho wa dunia ni leo?Busara inaonyesha kuwa Spika alitakiwa kutumia hikma na busara kuwa na subra ili CHADEMA ikiermo hawa Wabunge wamalize msiba warudi Bungeni na washughulikiwe wakiwepo ikiwemo na kupewa haki ya kusikilizwa(natural justice) ambayo ni haki ya msingi ya kila Raia!
sasa ndiyo wameshahukumiwa tayari,mnaamua nini labda?
 
27 Reactions
Reply
Back
Top Bottom