hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,446
- 6,311
Spika wa aibu!! Binge dhaifu!! Inafahamika wazi mchezo ulifanyika kuwapa ubunge cov.19!!! wengine wakatolewa jela chapu nakupewa ubunge direct! Nimtu mjinga sana asiyeelewa has a tukihusianisha na wale wa Cuf aliokubali haraka kuwafuta! Leo anawajali wabunge wa upinzani lakini alishindwa kumjali Lissu aliyekoswakoswa kuuawa kazini!! alimfukuzia mbali bila aibu...alafu utamkuta mbele kanisani akikomunika tena wanaweza kumpa na uzee wa kanisa!!! Cdm wamwachie kisasa mwenyezi Mungu
Wazee wa kulalamika bila fact
Kwani mtu akituhumiwa maana yake Hana haki ya nyingine yoyote?
Kwani mahakama ndio ilimweka ndani?
Wenyewe kamati kuu wanajua walifanya nn na kama wangekuwa hawajafanya kosa lolote leo kesi ingekuwa mahakamani