mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,219
- 6,650
Kuna umuhimu CAG kufanya uchunguzi na ukaguzi wa matumizi ya fedha ya Wabunge, tofauti na mishahara, kama inatumika ilivyokusudiwa. Ni fedha ambayo inapaswa kufanyiwa marejesho ili uhakiki ufanyikeSakata la Waheshimiwa Jerry Silaa na Spika Job Ndungali limefanya ambao hatukujua Wabunge wana posho ya madereva tukajua.
Huo mshahara wa madereva utakuta Spika, Mawaziri, NW nao wanachukua huku wakiwa wanapewa usafiri na madereva wa serikalini na bungeni. Wakiajiri dereva ni matumizi ya kudurufu tu. Hao madereva wanao ajiriwa na wabunge mishahara yao inakatwa payee? Bunge ama serikali wanautaratibu wa kufuatilia kujua mishahara hii ya madereva inatumika ipasavyo na wanalipwa sawasawa na kukatwa payee, mafao ya Uzeeni yana heshimiwa?