state agent
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 1,764
- 2,511
Spika wa bunge la jamhuri ya Tanzania Job Ndugai amesema kuwa mbunge yeyote akatakaye piga kura ya siooooh ili bajeti ya serkali isipite ni mpuuzi.
Amesema kuwa kwa jinsi serkal ya awamu ya Tano inafanya mambo makubwa kukataa kupitisha bajeti ni upuuzi
State agent
Chanzo mwananchi
Amesema kuwa kwa jinsi serkal ya awamu ya Tano inafanya mambo makubwa kukataa kupitisha bajeti ni upuuzi
State agent
Chanzo mwananchi