Koffi Yardley
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 620
- 495
Ndugai anasumbuliwa na personal issues zenye mwelekeo wa INFERIORITY COMPLEX tangu enzi za KIBAHA SEKONDARI ambapo Mbowe na vijana wengine wa vi-GOGO wakiwa wameletwa kusoma pale kimbeleko-mbeleko vile. I was there, A level miaka ilee.
Nakumbuka sana aina flani ya CAVEMEN WALOKUBUHU ambao Kibaha iliwatesa mno. They hated aina ya kina Mbowe, Maswanya, Nkembo .... et al!
Kwake yeye kuupata UBUNGE na baadae USPIKA ni purely demographical, a very opportunistic tribal opening! Angegombea kwingineko asingepata hata nusu kura! Anavyojibaraguza sasa!
Nakumbuka sana aina flani ya CAVEMEN WALOKUBUHU ambao Kibaha iliwatesa mno. They hated aina ya kina Mbowe, Maswanya, Nkembo .... et al!
Kwake yeye kuupata UBUNGE na baadae USPIKA ni purely demographical, a very opportunistic tribal opening! Angegombea kwingineko asingepata hata nusu kura! Anavyojibaraguza sasa!