Mwanga Mkali
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 1,289
- 2,413
Kwa nini Mbowe aitolee uchambuzi wakati kisheria na anajua kabisa kwamba ni kamati za bunge PAC na LAAC ndio wanamamlaka ya kuichambua na kuiwakilisha kwetu kupitia bunge... Kama sio kutumwa ni nini?Sasa amejuaje kama inapotoshwa wakati yeye hajaisoma, hajui chochote na hao wabunge wanaounda LAAC na PAC hawajaichambua?
Ndugai ni Speaker wa HOVYO sana kuwahi kutokea katika historia ya Bunge letu tukufu. Ameiharibu sana taswira ya Bunge na sasa kila zuzu yeyote anatamani kuingia kule