Spika Ndugai: Lissu asubiri Muziki wangu

naona mgogo kama kampania sana Lissu

Bifu lao ni la muda mrefu. Nakumbuka siku moja Ndugai akiwa naibu spika, walikuwa kwenye kipima joto cha ITV. Siku hiyo Lisu alimfunika vibaya sana Ndugai, siku hiyo Ndugai alitamani dunia ipasuke immemze. Toka siku hiyo Ndugai ana bifu la hatari na Lissu. Kwa ujumla Ndugai nje ya madaraka ni boya wa kutupa.

Hizi hasira za Ndugai dhidi ya Lissu zinachangiwa zaidi na mitandao, humu mitandaoni Ndugai hafagiliwi kabisa na anapewa maneno yanayomchoma, hivyo kuwakomoa watu wa humu mitandaoni ndio anatumia madaraka yake kumfanyizia Lissu.
 
Bifu lao ni la muda mrefu. Nakumbuka siku moja Ndugai akiwa naibu spika, walikuwa kwenye kipima joto cha ITV. Siku hiyo Lisu alimfunika vibaya sana Ndugai, siku hiyo Ndugai alitamani dunia ipasuke immemze. Toka siku hiyo Ndugai ana bifu la hatari na Lissu. Kwa ujumla Ndugai nje ya madaraka ni boya wa kutupa.

Hizi hasira za Ndugai dhidi ya Lissu zinachangiwa zaidi na mitandao, humu mitandaoni Ndugai hafagiliwi kabisa na anapewa maneno yanayomchoma, hivyo kuwakomoa watu wa humu mitandaoni ndio anatumia madaraka yake kumfanyizia Lissu.
Hata ukaribu wa TL na yule mama mstaafu inaeza kua ndo chanzo halis cha bifu lao
 
Bifu lao ni la muda mrefu. Nakumbuka siku moja Ndugai akiwa naibu spika, walikuwa kwenye kipima joto cha ITV. Siku hiyo Lisu alimfunika vibaya sana Ndugai, siku hiyo Ndugai alitamani dunia ipasuke immemze. Toka siku hiyo Ndugai ana bifu la hatari na Lissu. Kwa ujumla Ndugai nje ya madaraka ni boya wa kutupa.

Hizi hasira za Ndugai dhidi ya Lissu zinachangiwa zaidi na mitandao, humu mitandaoni Ndugai hafagiliwi kabisa na anapewa maneno yanayomchoma, hivyo kuwakomoa watu wa humu mitandaoni ndio anatumia madaraka yake kumfanyizia Lissu.
Nasiki dugai amekubali kuwa mgeni katika kipindi cha BBc HardTalk!
 
Nasiki dugai amekubali kuwa mgeni katika kipindi cha BBc HardTalk!

Hilo halitokaa litokee, sio yeye tu, hata jiwe hathubutu. Mwanaccm anayeweza hicho kipindi ni Hussen bashe tu, tena kwa mbali kwani kuna maswali akiyajibu ndio atazidi kukiharibia chama chake. Wanaccm wanaweza kuhojiwa na kujibu bila kuharibu sehemu ambayo vyombo vya habari husika vina hofu na vyeo vyao. Huko BBC hardtalk watasema wametumwa na wapinzani na tatizo ni wivu kwakuwa rais kawanyima madini yetu.
 
Inasikitisha sana katika awamu hii watanzania tumekuwa na roho mbaya sana. Wengi wetu hatuna undugu tuliokuwa nao wakati wa Mwalimu Nyerere.
Nadhani mwalimu anasikitika sana huko aliko. Aliomba sana wanasiasa waache kuwa malaya. Wawe na misimamo thabiti. Lakini wapi!
 
Back
Top Bottom