Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Hii ilikuwa kabla au baada ya vidole vya miguu kunyofolewa?
Hii ilikuwa kabla au baada ya vidole vya miguu kunyofolewa?
Mkuu Kweli nimeona utofauti.
Kawa mwehu.Huyu ndugai sio mzima huyu.
ni kweli kabisa mkuu.
Sasa tunahoji zipo wapi cctv
Wakati wanag'oa cctv hamkupiga picha?Sasa tunahoji zipo wapi cctv
Hii ndiyo inapelekea pasipo Shaka kuwa wanahusika. Maana haingalikuwa rahisi kutaka Maneno hayo.
SISITV ndio ilipiga wakati inang'olewa. ilete tukuonyeshe mlivokuwa mnaing'oa
Pole kijakaziLissu hawezi kufikia uwezo wa Kujieleza wa Sultan Seif Sharif Hamad
Lissu hawezi kufikia umaarufu wa Sultan Seif kimataifa
Lissu hawezi Kuwa Na Wafuasi wengi wa kufikia Sultan Seif
Lakin Sultan Seif kaanza kuzunguka kimataifa kwa robo karne (1992-2017) akichafua Taifa Kwenye macho ya Mabeberu
Kama kuna kitu kafanikiwa Sana Basi Ni mambo Mawili tu
1) Kumaliza soli Za Viatu
2) kUjaza mihuri Kwenye hati yake ya kusafiria
Huyo alieona ziking'olewa hakuwa na smartphone au zile simu za mbaoSISITV ndio ilipiga wakati inang'olewa. ilete tukuonyeshe mlivokuwa mnaing'oa
TuonyesheHivi mmeona hiyo picha ya CAG , the guy yupo na ndala sijui kwa nini spika why spika unaongoza hizi hujuma kwa nini bro ?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Huna haja ya kutaja kabila.naona mgogo kama kampania sana Lissu
Nyie c mnayo ile SISITV yenu basi ileteni tudukueHuyo alieona ziking'olewa hakuwa na smartphone au zile simu za mbao
Sent using Jamii Forums mobile app