kigogo warioba
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 6,048
- 9,392
hajui kitu, mpuuzie mkuuUsipaniki kaka.. Sasa alimtafuta Spika wa israel kwa kazi gani? Au spika wa israel ni kuhani?
hajui kitu, mpuuzie mkuuUsipaniki kaka.. Sasa alimtafuta Spika wa israel kwa kazi gani? Au spika wa israel ni kuhani?
mmhh.. punguza speed man.!Hija za Wakristo kwenye mji mtakatifu wa Yerusalemu hakunaga majina ya Alhaj mazee! Kule Galina kuabudu au kusujudia Jiwe jeusi almaarufu Alqaba!
Spika hawezi kukosa dola 5,000 kwenda kuangalia sehemu Nabii Issa A.S aliopaa.Hiyo hija ameenda kwa gharama za nani?
Amuulize mwenzake kama anawakandia wapinzani, kama kuna ndioooooooooooooooooooooooo; polisi kuingia bungeni, mbunge kufungiwa vikao vitatu vya bunge, kunyimwa posho etc, etc, etc, etcSPIKA NDUGAI AKUTANA NA SPIKA BUNGE WA BUNGE LA ISRAEL
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Job Ndugai katika picha ya pamoja na Spika wa Bunge la Israel (Knesset) Mhe. Yuli Yole Edelsten wakati Mhe. Spika alipomtembelea Bungeni hapo. Mhe Ndugai yupo nchini Israel kwa ibada ya Hija.(Picha na Ofisi ya Bunge).
Ukishakubali kuwa rubber stamp unadhani heshima na hadhi yako haitakua mashakani?Mhimili wa Bunge letu kwa sasa unapita katika kipindi kigumu sana.
Serikali haijali kabisa na kuipa hadhi yake Bunge letu.
Punguza povu mkuu, unaelewa maana ya Alhaj?Hija za Wakristo kwenye mji mtakatifu wa Yerusalem hakunaga majina ya Alhaj mazee! Kule hakuna kuabudu au kusujudia Jiwe jeusi almaaruf Alqaba!
Mkuu dola 5,000 = 10m, pale jimboni kwake kuna matatizo mengi, kwanini asijenge hata darasa moja?Spika hawezi kukosa dola 5,000 kwenda kuangalia sehemu Nabii Issa A.S aliopaa.
Hapo sasa unakosea.Spika katoka kwenye mitihani,kumshukuru mungu wake kwa mujibu wa taratibu za imani yake ni muhimu.Mkuu dola 5,000 = 10m, pale jimboni kwake kuna matatizo mengi, kwanini asijenge hata darasa moja?
Hapo sasa unakosea.Spika katoka kwenye mitihani,kumshukuru mungu wake kwa mujibu wa taratibu za imani yake ni muhimu.
Acha apate afya njema atapata tu nguvu ya kujenga darasa
Tutaona manufaa ya hija yake akikaa kitini kwenye mjengo wa rushwa.Hapo sasa unakosea.Spika katoka kwenye mitihani,kumshukuru mungu wake kwa mujibu wa taratibu za imani yake ni muhimu.
Acha apate afya njema atapata tu nguvu ya kujenga darasa