Spika Ndugai: January Makamba kahakikishe petrol haipandi bei ovyo na mikataba ya ovyo ovyo kwenye nishati hatuitaki!

Spika Ndugai amesema January Makamba ana uzoefu wa kutosha katika sekta ya nishati hivyo anategemea atahakikisha petrol haipandi pandi bei ovyo.

Pia, mikataba mingi ilisharekebishwa hivyo anamtaka January asije kuturudisha kwenye ile mikataba ya hovyi hovyo.

Source: TBC

Hii nchi hii daah!
 
Spika Ndugai amesema January Makamba ana uzoefu wa kutosha katika sekta ya nishati hivyo anategemea atahakikisha petrol haipandi pandi bei ovyo.

Pia, mikataba mingi ilisharekebishwa hivyo anamtaka January asije kuturudisha kwenye ile mikataba ya hovyi hovyo.

Source: TBC




Bei ya mafuta ni ya Dunia nzima huwezi kuzuia bei ya mafuta kupanda au kushuka hasa kwa kiasi kidogo tunacho nunua. Ushauri wangu kwenye kupunguza bei ni kwa serikali kuwa na visima vikubwa vya kuweka mafuta na vilevile kutenga pesa nyingi kama $500-$1B kwa ajili ya hili. Mafuta yakishuka bei sana serikali ina nunua na kuweka mafuta kwenye visima hivi na bei ikipanda badala ya kuagiza wanauza haya mafuta kwa wasambazaji kwa bei nafuu kuliko soko. Lakini hii itakuwa ngumu kwasbabu serikali hiyohiyo kwa siri wanapenda bei ipande ili wapate kodi zaidi maana wameweka kodi nyingi sana kwenye mafuta
 
Spika Ndugai amesema January Makamba ana uzoefu wa kutosha katika sekta ya nishati hivyo anategemea atahakikisha petrol haipandi pandi bei ovyo.

Pia, mikataba mingi ilisharekebishwa hivyo anamtaka January asije kuturudisha kwenye ile mikataba ya hovyi hovyo.

Source: TBC


Anajiosha tu huyu kwa Watanzania baada ya kuaandamwa na watu.
Mbona yeye mkataba wa mwehu tu anaweza kuukubali wa Bagamoyo yeye anaupigia debe?
 
Huyu Spika huwa anaongea kama nani? Mbona anaonekana kutokuwa na imani na Serikali?

Hakuna namna ya kusuka zengwe awekwe pembeni? Amekuwa na kauli tata Sana siku za hivi karibuni.
Spika ni msimamiz wa bunge na bunge ni wawakilishi wa wananchi..kwa ufupi spika anatakiwa kusaidia malalamiko ya wabunge kuifikia serikali! Wakati huohuo waziri ni muwakilishi wa serikali lakin ukumbe ni mbunge pia..kwahiyo akiwa bungeni yupo chini ya spika lakini anaiwakilisha serikali..
 
Spika Ndugai amesema January Makamba ana uzoefu wa kutosha katika sekta ya nishati hivyo anategemea atahakikisha petrol haipandi pandi bei ovyo.

Pia, mikataba mingi ilisharekebishwa hivyo anamtaka January asije kuturudisha kwenye ile mikataba ya hovyi hovyo.

Source: TBC

January huo uzoefu kwenye sekta ya Nishati kautoa wapi ?
Huyu Mwizi wa Mitihani Kitano cha nne Yuko overrated sana
 
Kwa mbali naona timu ya jk imerudi uwanjani?
kabinet ya jk ilishakuwa zilipendwa.wengi hawapo bungeni

Anyway wateule wa jk walikuwa mwigulu, ummy, lukuvi, majaliwa, kebwe,kariuki, mbarawa

Wengne ni
Chenge, malima,mwakyembe,
mwandosya,muhongo,
marsha, kitwanga, tizeba, kawambwa,

Hizi ni enzi mpya za kina
bashe, bashungwa, silinde, jafo nk

Usilazimishe, nyakati zile zilishapita
 
kabinet ya jk ilishakuwa zilipendwa.wengi hawapo bungeni

Anyway wateule wa jk walikuwa mwigulu, ummy, lukuvi, majaliwa, kebwe,kariuki, mbarawa

Wengne ni
Chenge, malima,mwakyembe,
mwandosya,muhongo,
marsha, kitwanga, tizeba, kawambwa,

Hizi ni enzi mpya za kina
bashe, bashungwa, silinde, jafo nk

Usilazimishe, nyakati zile zilishapita
Sawa, wakati ni mwamuzi
 
Back
Top Bottom