Spika Ndugai, huyu Lusinde na Musukuma kumbe ni 'vifaa' vya kushambulia?

Ukisikiliza mjadala huu utagundua kuwa kumbe vijembe na kushambulia watu kunakofanywa na "darasa la saba" hawa yaani Mbunge Lusinde wa Mvumi na Msukuma wa Geita kuna baraka za Spika Ndugai na ni mkakati wake anaotumia (kwa vile wana uwezo wa kubwabwaja lakini hawajitambui) kuzima kile wasichokitaka au kumuumbua mtu ndani au nje ya bunge.

Ndio maana hawa hata waende nje ya kanuni za bunge hawazuiwi wala kuonywa.

Sasa Spika kama anaweza kutumia hayo madafu kwa interest zake bungeni "heshima" hilo bunge iko wapi tena?


Umechelewa sana kulijua hili !
 
Ukisikiliza mjadala huu utagundua kuwa kumbe vijembe na kushambulia watu kunakofanywa na "darasa la saba" hawa yaani Mbunge Lusinde wa Mvumi na Msukuma wa Geita kuna baraka za Spika Ndugai na ni mkakati wake anaotumia (kwa vile wana uwezo wa kubwabwaja lakini hawajitambui) kuzima kile wasichokitaka au kumuumbua mtu ndani au nje ya bunge.

Ndio maana hawa hata waende nje ya kanuni za bunge hawazuiwi wala kuonywa.

Sasa Spika kama anaweza kutumia hayo madafu kwa interest zake bungeni "heshima" hilo bunge iko wapi tena?


Msukuma mnae mzalau bungeni Ndo mwenye point.
Hii imedhihirishwa na Rais Samia baada ya kumtaja Kishimba kwa pointi zake
 
Mtoa mada unaongelea nini?

Tunao ma prof lkn elimu yao ya kukakariirishwa kwenye makatarasi haijatupeleka popote zaidi ya kusainishwa mikataba ya kipuuzi na wasomi uchwara wa kizungu, hawa wasomi hawana tofauti na Chifu Mangugo wa Msowero.

Hawa la Saba kama wanajenga hoja hadi waziri Prof dish lake linayumba si bora wao?

Hata kama data wanalishwa na huyo spika sawa , hapo ni ujanja tu wakupata taarifa'.

Msukuma ana kampuni ameajiri walisoma na digrii zao nani mjinga hapo? Hivi kuna msomi mwenye akili aseme kama Katiba inaruhusu acheeni watu watinduane mitalo au aseme si kazi yake kuchungulia watu wanaume wanakula kisamvu kwa mila za Kiafrika? Kwahiyo watoto wake wakipigana scrach kwake sawa.

Mtu aliyekaririshwa ili kuyumbisha au kushambulia dawa yake si amshuti kwa hoja na kumtoa kwenye reli wanashindwaje na hawa ELOWAYI? Maana dawa ya mtazamiaji ni kuandika jibu la Uongo au unaandika tusi , halafu unalifuta wakati wa kukusanya daftari. Ukiona la saba wanamshambulia msomi na kumushinda jua ni mweupe tu.
Wananyamaza maana wanatumia falsafa ya "never argue with a fool, people will not notice the difference "
 
Msukuma mnae mzalau bungeni Ndo mwenye point.
Hii imedhihirishwa na Rais Samia baada ya kumtaja Kishimba kwa pointi zake
Sasa kwa nini mifano ya ujinga anatolewa Msukuma na Kibajaj na sio Kishimba?
Kishimba hakusoma lakini ameelimika ndio maana hana mambo ya kipumbavu kama hao wawili
 
Mtoa mada unaongelea nini?

Tunao ma prof lkn elimu yao ya kukakariirishwa kwenye makatarasi haijatupeleka popote zaidi ya kusainishwa mikataba ya kipuuzi na wasomi uchwara wa kizungu, hawa wasomi hawana tofauti na Chifu Mangugo wa Msowero.

Hawa la Saba kama wanajenga hoja hadi waziri Prof dish lake linayumba si bora wao?

Hata kama data wanalishwa na huyo spika sawa , hapo ni ujanja tu wakupata taarifa'.

Msukuma ana kampuni ameajiri walisoma na digrii zao nani mjinga hapo? Hivi kuna msomi mwenye akili aseme kama Katiba inaruhusu acheeni watu watinduane mitalo au aseme si kazi yake kuchungulia watu wanaume wanakula kisamvu kwa mila za Kiafrika? Kwahiyo watoto wake wakipigana scrach kwake sawa.

Mtu aliyekaririshwa ili kuyumbisha au kushambulia dawa yake si amshuti kwa hoja na kumtoa kwenye reli wanashindwaje na hawa ELOWAYI? Maana dawa ya mtazamiaji ni kuandika jibu la Uongo au unaandika tusi , halafu unalifuta wakati wa kukusanya daftari. Ukiona la saba wanamshambulia msomi na kumushinda jua ni mweupe tu.
Acha uongo wewe. Msukuma ana kampuni gani ambayo ameajiri wenye digrii? Itajaje hiyo kampuni,usitulishe matango pori hapa!
 
Kibajaji- Wananionea wivu kwavile nagombea uNec
Msukuma- Kwavile wewe lasaba mwenzangu ndiyo maana hawakutaki

Ndugai- Jamani Wabunge tutampa Uneki Kibajaji

Bunge - Ndiyooooo tutampa

Sasa kweli hili ni Bunge au kikao cha chama?
Nchi tunakwenda wapi?

Ndugai bila kubebwa na JIWE huo ubunge angeusikia kwenye redio!!
 
Kibajaji- Wananionea wivu kwavile nagombea uNec
Msukuma- Kwavile wewe lasaba mwenzangu ndiyo maana hawakutaki

Ndugai- Jamani Wabunge tutampa Uneki Kibajaji

Bunge - Ndiyooooo tutampa

Sasa kweli hili ni Bunge au kikao cha chama?
Nchi tunakwenda wapi?
It's really disgusting the way things are proceeding over there.
 
Sasa kwa nini mifano ya ujinga anatolewa Msukuma na Kibajaj na sio Kishimba?
Kishimba hakusoma lakini ameelimika ndio maana hana mambo ya kipumbavu kama hao wawili
Pia mkuu ukirejea issue ya Bangi si ni haohao Msukuma na Kishimba
 
Huu mmjadala unaonyesha wanachama jf wengi ni la saba. La nne.....
 
Back
Top Bottom