johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,894
- 141,827
Spika wa bunge mh Ndugai amesema Hotuba za kambi ya upinzani huwa zinaandaliwa mahali fulani huko nje ya bunge na mawaziri vivuli huzisaini tu bila kuzihakiki. Hivyo ili kulinda heshima ya bunge na kuhakikisha kama kanuni zimezingatiwa ni lazima zihakikiwe.
Spika amesema kuna mambo yako mahakamani hivyo yakiingizwa kwenye Hotuba yanaweza kuleta migongano kwa mihimili hii miwili yaani bunge na mahakama na yeye hawezi kuruhusu hali hiyo itokee.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Spika amesema kuna mambo yako mahakamani hivyo yakiingizwa kwenye Hotuba yanaweza kuleta migongano kwa mihimili hii miwili yaani bunge na mahakama na yeye hawezi kuruhusu hali hiyo itokee.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!