Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Nimeshangazwa sana na kauli ya spika wa bunge la JMT kupigia chapuo tozo za miamala ya simu kwa madai kuwa eti ni muhimu kwa maendeleo ya jimbo la Kongwa na taifa letu.
Mbaya zaidi anadai eti hana uhakika kama kuna vyanzo vingine vya mapato zaidi ya kuwakamua wananchi kupitia tozo za miamala ya simu. Huku ni kujitoa fahamu na kutokubali makosa.
Hivi ni meli ngapi za nje zinavua na kuacha kulipa mapato kwenye eneo letu la bahari kuu? Kama serikali ingeweka mkazo ili hizi meli zilipe kodi, je kulikuwa na haja ya kuwakamua wananchi wa kawaida?
Ndio kusema Ndugai na Bunge lako lote mlikaa na kuumiza kichwa na kuona eneo pekee kama chanzo cha kodi ni kuwakamua wanachi?
My take: 2025 sio mbali, wananchi wasifanye makosa.
Mbaya zaidi anadai eti hana uhakika kama kuna vyanzo vingine vya mapato zaidi ya kuwakamua wananchi kupitia tozo za miamala ya simu. Huku ni kujitoa fahamu na kutokubali makosa.
Hivi ni meli ngapi za nje zinavua na kuacha kulipa mapato kwenye eneo letu la bahari kuu? Kama serikali ingeweka mkazo ili hizi meli zilipe kodi, je kulikuwa na haja ya kuwakamua wananchi wa kawaida?
Ndio kusema Ndugai na Bunge lako lote mlikaa na kuumiza kichwa na kuona eneo pekee kama chanzo cha kodi ni kuwakamua wanachi?
My take: 2025 sio mbali, wananchi wasifanye makosa.