Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,275
- 31,401
Waandike baruaKwa lugha nyepesi ni kwamba waziri wa mambo ya ndani anasisitizwa aviagize vyombo husika vichukue hatua kwa askofu rashidi na waziri ahakikishe hatua zinakua kali kweri-kweri ili muovu huyu asithubutu kurudia kosa husika.