nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,929
Nadhani umelemewa na usingizi was kutokupambanuaUmma upi wa watanzania aloushawishi?
Waumini wa kanisani kwake ndio useme Umma wa watanzania?
Mbona hamshangai pombe na sigara kukatazwa waumini wasitumie wakati serikali inakusanya kodi kubwa sana?
Kwanini Chanjo ya Covid 19 kukatazwa kanisani kwa waumini ndio iwe nongwa?
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app