johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,889
- 141,823
Akifungua kikao cha leo cha bunge ambacho kimehudhuriwa na wabunge wachache sana, Spika Ndugai alianza kwa kucheka kisha akasema "tumebakiwa na vikao viwili tu kabla ya kuagana"
Mjadala unaendelea na sasa mbunge Mariam Ditopile ndio anachangia.
Source: Channel Ten
Maendeleo hayana vyama!
Mjadala unaendelea na sasa mbunge Mariam Ditopile ndio anachangia.
Source: Channel Ten
Maendeleo hayana vyama!