Mansoor hajawahi kuwa mbunge, alishawahi kuwa mwakilishi tu wa baraza la wawakilishi Zenji.Vipi kuhusu Mansoor aliyefukuzwa ccm na kuvuliwa ubunge??
Mansoor hajawahi kuwa mbunge, alishawahi kuwa mwakilishi tu wa baraza la wawakilishi Zenji.Vipi kuhusu Mansoor aliyefukuzwa ccm na kuvuliwa ubunge??
Yote kwa yote mtekelezaji wa hiyo "kitu mbaya" siyo mwingine ni CCM.Ha ha ha Maalim Seif ndiye muusika mkuu kuanguka kwa Jumbe,kumbukumbu zinaonyesha!
Vipi marehem Jumbe?
Wabunge wanaofukuzwa upinzani ni mapandikizi ya CCM spika lazima alalame kupoteza watu wao.Kama hujui, ccm ndio mabingwa wa kuingiza mamluki kwenye vyama vya upinzani ili kuleta migogoro na kuvisambaratisha. Sasa kusipokuwa na nguvu ya uongozi kuwaondoa ujue ndio mwisho wa vyama pinzani Tanzania.
Namkumbuka JK-Tundu, sasa JK alikuwa mwenyekiti chadema?...tatizo kubwa mmemruhusu Mbowe ahodhi akili zenu.CCM hawaachi uCCM hata akiwa Supika au dikteta uchwara
kwani alikuwa anatoka chama gani? halafu kumbe mwakilishi wa baraza la wawakilishi sio sawa na mbunge?Ficha ukilaza wako, Mansoor hajawahi kuwa mbunge, alishawahi kuwa mwakilishi tu wa baraza la wawakilishi Zenji.
Hao ni wafalme, sio wenyeviti wa vyama. Haiwezekani mtu huyo zaidi ya miaka ishirini ni katibu wa chama, zaidi ya miaka kumi ni mwenyekiti wa chama...then wanajiita "demokrasia na maendeleo"...Kuna udikteta mkubwa sana kwenye vyama vya upinzani kuliko hata huo wanaouita udikteta uchwara.
Vyama vya upinzani vina wenyeviti na makatibu wakuu wa kudumu kama Mbowe. Mrema,Cheyo,maalim Seif, Mbatia nk.
Ukikosana na mwenye chama lazima ufukuzwe hakuna Uhuru wa maoni wala demokrasia.
Lipumba alikosana na nani wakati yeye ndio aliekuwa mwenyekiti? Kwanini asimfukuze huyo aliekosana nae na badala yake akakimbilia kujiuzulu? Sasa leo hii analeta vurugu eti anataka arudishiwe uenyekiti bila uchaguzi bila utaratibu wowote halafu nyie maluki mnamtetea. Tuachane na siasa, Hivi hata mke wako akikuacha na akaondoka kwako kwa sababu zake binafsi then baada ya mwaka anarudi anakwambia mimi ndio mke wako nimerudi nyumbani kwangu na naitaka nafasi yangu bila masharti wala kujadiliwa, utampokea na kuendelea na maisha?Kuna udikteta mkubwa sana kwenye vyama vya upinzani kuliko hata huo wanaouita udikteta uchwara.
Vyama vya upinzani vina wenyeviti na makatibu wakuu wa kudumu kama Mbowe. Mrema,Cheyo,maalim Seif, Mbatia nk.
Ukikosana na mwenye chama lazima ufukuzwe hakuna Uhuru wa maoni wala demokrasia.
Either Kuna baadhi ya kumbukumbu zimebaki India kama bond ili akimaliza kuliipa deni la matibabu watamrudishia au, ramani yake kichwani kuhusiana na Tanzania huwa haifiki Zanzibar.Vipi kuhusu Mansoor aliyefukuzwa ccm na kuvuliwa ubunge??
Uwe na uelewa hata kidogo basi, aliesema hao ni mamluki ni nani? Wangekuwa mamluki wangeshatimuliwa. Yeyote unaeona katimuliwa kwa misingi ya kukisaliti chama ujue ni mamluki.Kwa hiyo Lowassa,Sumaye,Kingunge ni mamluki?
Ungemsoma kwanza aliyem-quote nadhani ungeipata point yakeUwe na uelewa hata kidogo basi, aliesema hao ni mamluki ni nani? Wangekuwa mamluki wangeshatimuliwa. Yeyote unaeona katimuliwa kwa misingi ya kukisaliti chama ujue ni mamluki.
Na mamluki sio lazima atoke chama kingine kuingia kingine, bali hata walioanza na chama hichohicho wanaweza kununuliwa na kupandikizwa kama mamluki na wakaanza kukihujumu chama. Taja Slaa, Taja Lipumba, Taja Zitto ongeza na wengine alafu uliza.
Kwani mbowe yeye hatakiwi kupingwa? Yeye ni mfalme wa chadema hivi vyama vya upinzani ni tatizo kubwa sana,Zito alikuwa msaliti! Hilo ni kosa kubwa! Ni kama kupindia nchi! Alitaka kumpindua Mbowe. Ya sakaya yanasameheka maana yeye anampenda lipumba, siyo kosa!
Mbowe lazima apingwe, lakini siyo kwa kufanya mipango ya chini chini kumpindua. Kama Mbowe alikataa wengine wasigombee uenyekiti, then, hilo nalo ni kosa.Kwani mbowe yeye hatakiwi kupingwa? Yeye ni mfalme wa chadema hivi vyama vya upinzani ni tatizo kubwa sana,
Naamini demokrasia ya kweli itashamiri nchini pale.tu hata vyama vya siasa vitakapokubali kuongozwa kidemkrasia.
Vinginevyo ni kuwahadaa wananchi.
Mansor amewai kuwa mbunge wa jimbo gani vile?Vipi kuhusu Mansoor aliyefukuzwa ccm na kuvuliwa ubunge??