digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,894
- 14,353
Acha wivu, tumia watu walitumikie taifa, hata wewe ni wa ovyo ovyo lakini ukiteuliwa huwezi kataa, so wivu unakusumbua tuNafasi kumi alizopewa Rais na Katiba ya JMT ni kama katika wabunge waliopo hakuna mtu ana sifa anazotaka lakini sio mBunge ndio anateua sasa huyu wetu anateua watu wa ovyoovyo ili kujaza makasuku kule mjengoni shida