Volodimiri Zelensiki
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 997
- 2,931
Kuna uwajibikaji wa aina nyingi ikiwepo kufariki na kupokelewa na Shetwani
UAtawajibishwa na nani na kwa sheria ipi?
UAtawajibishwa na nani na kwa sheria ipi?
Nadhani wanaogopa huko waliko data za Covid-19 zitapatikana na kutumwa zinakohitajiwahalafu sasahivi wanatumia nguvu kubwa sana wakitaka chadema warudi bungeni..,wana ajenda gani ya siri na chadema bila chadema mambo hayawezi kwenda huko
Sent from my iPhone using JamiiForums
Maoni yako ni yapi, hatupo hapa kuropoka, hii ni JF tafadhali.Karibu unanyooka! Utakufa kwa stress!
Nchi hii bunge lipo chini ya serikali, Mahakama inafuata maagizo ya serikali kufunga wasiowapenda. Huyu mbunge alishaacha ubunge na bunge likaridhia sasa baada ya watu kugundua kuwa bado analipwa mshahara, marupurupu na mkopo wake....Spika Ndugai akaona amefanya kitu ambacho sicho sahihi kwa hiyo njia yake rahisi ni kujifanya kutotambua barua yake ya kujiuzulu au ya katibu mkuu wa CHADEMA. Ndiyo hayo hayo ya Lipumba kujiuzulu halafu baada ya mwaka anatengua barua yake mwenyewe. NCHI HII NI YA AJABU.Hii nchi ina maajabu sana, pamoja na mbunge tajwa hapo juu aliekuwa akiwakilisha jimbo la Ndanda kupitia CHADEMA kutangaza kujiuzulu ubunge na kujivua uanachama wa CHADEMA na kujiunga na CCM lakini bado anaendelea kupata stahiki zote kama mbunge na Ndugai bado anamtambua kuwa Cecil Mwambe ni mbunge wa Bunge la Jamhuri.
Kitendo cha Mwambe kuhamia CCM kilimpotezea sifa ya kuendelea kuwa mbunge, Hili la leo Spika wa Bunge amedhihirisha udhaifu alionao. Spika ni dhaifu na Bunge la 11 ni Bunge dhaifu mno katika historia ya Tanzania.
Mabeberu ndio wanaokupa ARVs za bure wewe na mkeo, usiwakashifu.Mnalisahau liroboti lenu linalowashikisha... na kuwaamuru wabunge msiingie bungeni kwa faida ya maelekezo ya mabeberu!! ovyo kabisa nyinyi, wasomi wazima mnashikiwa akili na mchezesha santuri club!! how pathetic!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi unaona aibu, unabaki na kauli za wanawake wa uswazi.Mtajiju
Vipi mbowe atalihutubia lini taifa?siku zinakwenda tuModerator wataiunga hii , siku hizi mada fikirishi hazitakiwi
Nyinyi wenye afya ya akili mbona mmefanya ya kijinga?
Suala dogo tu la kuambatanisha nakala za barua moja ya cecil mwambe kujitoa chadema na ya pili nakala ya barua rasmi ya kikao halali kilichomtoa au kumjadili na kuamua rasmi kutomtambua kama mwanachama wenu?
Mnarudia makosa yaleyale mliyoyafanya ya kutomtambua joseph selasini kama mnadhimu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni kwa maandishi.
Chadema mnakwama wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko ni kusigina katiba.Hii nchi ina maajabu sana, pamoja na mbunge tajwa hapo juu aliekuwa akiwakilisha jimbo la Ndanda kupitia CHADEMA kutangaza kujiuzulu ubunge na kujivua uanachama wa CHADEMA na kujiunga na CCM lakini bado anaendelea kupata stahiki zote kama mbunge na Ndugai bado anamtambua kuwa Cecil Mwambe ni mbunge wa Bunge la Jamhuri.
Kitendo cha Mwambe kuhamia CCM kilimpotezea sifa ya kuendelea kuwa mbunge, Hili la leo Spika wa Bunge amedhihirisha udhaifu alionao. Spika ni dhaifu na Bunge la 11 ni Bunge dhaifu mno katika historia ya Tanzania.
Hivi sheria ya uchaguzi inasemaje endapo jimbo linakuwa wazi dakika za majeruhi?Kweli bwana. Eti Ndugai anasema haitambui barua ya katibu mkuu wa Chadema. Mwambe si alihama chama kwa hiari na barua aliyoandika ndiyo inatumika kama kielelezo ambayo spika analetewa nakala na Mwambe mwenyewe? Hili lizee kweli ni zero!
Kutumia madaraka vibaya na kuvunja katiba ya nchi ,ili uwe mbunge lazima upate ridhaa ya chama cha siasa, Sasa yeye alipata ubunge kupitia chama cha siasa akajitoa kwenye chama kilichomdhamini ubunge kwa hiyo na ubunge wake unakomaAtawajibishwa na nani na kwa sheria ipi?
Pengine hajapokea barua rasmi toka kwa Mbunge na Chama cha Chadema anaanzia wapi kutamka sio mbungeKutumia madaraka vibaya na kuvunja katiba ya nchi ,ili uwe mbunge lazima upate ridhaa ya chama cha siasa, Sasa yeye alipata ubunge kupitia chama cha siasa akajitoa kwenye chama kilichomdhamini ubunge kwa hiyo na ubunge wake unakoma
Nyinyi wenye afya ya akili mbona mmefanya ya kijinga?
Suala dogo tu la kuambatanisha nakala za barua moja ya cecil mwambe kujitoa chadema na ya pili nakala ya barua rasmi ya kikao halali kilichomtoa au kumjadili na kuamua rasmi kutomtambua kama mwanachama wenu?
Mnarudia makosa yaleyale mliyoyafanya ya kutomtambua joseph selasini kama mnadhimu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni kwa maandishi.
Chadema mnakwama wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kuthibitisha kauli yako? Au unajitoa ufahamu kutaka kutetea upuudhi.Pengine hajapokea barua rasmi toka kwa Mbunge na Chama cha Chadema anaanzia wapi kutamka sio mbunge
Sent using Jamii Forums mobile app