Spika Ndugai ataka PAC kuwahoji watendaji wa Tanesco, TRC, Muhimbili na Posta kwanini hawakupeleka mahesabu kwa CAG!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,897
141,830
Spika wa bunge ameyashangaa mashirika makubwa nchini kama Tanesco, TRC, Muhimbili, MOI na Posta kushindwa kuwasilisha mahesabu yao kwa CAG.

Ndugai ameitaka kamati ya bunge ya mashirika ya umma PAC kuwaita watendaji wa mashirika hayo na ikiwezekana wataishauri serikali ivunje bodo za mashirika hayo.

Source ITV habari!
 
Hii PAC kisheria inatakiwa kuongozwa na wapinzani, hivi ni nani anaongoza hiyo kamati?

Na kwanini bunge huwa halipeleki mahesabu yao kwa CAG? namshangaa Ndugai anawasema hao wakati na yeye hana tofauti nao.
 
Kwani reports za CAG zilicomment vipi kuhusu hayo Mashirika?
Kwanini wahusika wasipeleke mahesabu yao kwa CAG kwanza ili CAG awasilishe taarifa zao kwanza kwa Mh. Rais alafu ndio ziwasilishwe Bungeni?
Hata hivyo si vibaya kwa Mh. Spika kukumbushia mahesabu hayo ili ikiwezekana wahusika wafanyie kazi.
 
Hii PAC kisheria inatakiwa kuongozwa na wapinzani, hivi ni nani anaongoza hiyo kamati?

Na kwanini bunge huwa halipeleki mahesabu yao kwa CAG? namshangaa Ndugai anawasema hao wakati na yeye hana tofauti nao.
Inaongozwa na mama Kaboyoka wa Chadema!
 
Back
Top Bottom