Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,309
- 5,538
Hiv unadhn kayatamka bure?huyo hata akipelekewa taarifa pia anaweza kugoma kuwa hakuzipata,mwache adunde bhana kama kinga anayo nn kimtishe????hebu rejea maneno ya mkurugenzi kukanusha kupewa majina ya viti maalumu trh 20 kisha kubadili maneno yake kuwa alipewa majina trh 19.sasa hv kila kitu kinawezekana ili mfalme afurah.
Kufuatia matamshi ya Spika wa bunge leo bungeni wakati akiwaapisha wabunge wateule Humphrey Polepole na Bi. Riziki, ambapo Spika amewahakikisha ubunge wabunge 19 wa viti maalum waliovuliwa uanachama wao na Chadema..