johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,571
- Thread starter
- #21
Kwani jimboni kwa Lisu kuna madawati ya kutosha?!achukie zile hela alizozuia za matibabu ya lissu akanunue madawati huko kwao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani jimboni kwa Lisu kuna madawati ya kutosha?!achukie zile hela alizozuia za matibabu ya lissu akanunue madawati huko kwao.
Yatatoka wapi wakati stahiki zake kama mbunge mmezuiaKwani jimboni kwa Lisu kuna madawati ya kutosha?!
Nilifika Kongwa na nikaripoti humu
Kwa wale mliowahi kufika Kongwa, ni jimbo choka mbaya kiasi kwamba Mbunge wake hafai kwa lolote!
Wanabodi, Uwezo wa kiongozi mzuri, hupimwa kwa matokeo ya ahadi anazotoa kuwa iwapo atachaguliwa atafanya nini. Sasa inapotokea mmemchagua mtu, amekaa miaka 5, hajafanya lolote, na baada ya miaka 5, mmemchagua na hajafanya lolote, sasa leo tena, mmemchagua tena kwa miaka 5 ya mwingine...www.jamiiforums.com
Kama sasa anasikitishwa na hali hii, huu ni mwanzo mzuri, tutamshauri the right thing for him to do for Kongwa come 2020
P
Kwani jimboni kwa Lisu kuna madawati ya kutosha?!
Mwanzo mzuri maanake nini? Kwani ni Mtawala wa maisha? Hakuna wengine?duhNilifika Kongwa na nikaripoti humu
kama sasa anasikitishwa na hali hii, huu ni mwanzo mzuri, tutamshauri the right thing for him to do for Kongwa come 2020
P
We unafikiri nani alitoa maagizoKwani alikamatwa na Ndugai?!!
PolisiKwani alikamatwa na Ndugai?!!
OCDWe unafikiri nani alitoa maagizo
Ova
Hahahaa........ Wewe ungefurahia?!Aache unafki
Nilifika Kongwa na nikaripoti humu
Kwa wale mliowahi kufika Kongwa, ni jimbo choka mbaya kiasi kwamba Mbunge wake hafai kwa lolote!
Wanabodi, Uwezo wa kiongozi mzuri, hupimwa kwa matokeo ya ahadi anazotoa kuwa iwapo atachaguliwa atafanya nini. Sasa inapotokea mmemchagua mtu, amekaa miaka 5, hajafanya lolote, na baada ya miaka 5, mmemchagua na hajafanya lolote, sasa leo tena, mmemchagua tena kwa miaka 5 ya mwingine...www.jamiiforums.com
Kama sasa anasikitishwa na hali hii, huu ni mwanzo mzuri, tutamshauri the right thing for him to do for Kongwa come 2020
P
Sehemu nyingi zitaje basi!Hali iliyoko Kongwa naamini inawakilisha sehemu nyingi za nchi yetu ilivyo. Hali ni mbaya kila mahali, kuna mahali watu hawajawahi hata kuona gari, gari zinaonekana wakati wa uchaguzi tu.
Hii ndiyo hali halisi ya Tz yetu.
Hili ajabu lingine. Yule mwandishi wa habari aliyepiga picha wanafunzi wamekaa chini akawekwa ndani kwa uchochezi ameshalipwa fidia?Ajabu hii.
Leo Ndugai uneshuka na utetezi wa " Jumla Jumla", siku nyingine huwa mnatuaminisha majimbo yanayoongozwa na wapinzani ndo yana hali mbaya..! Leo vipi unasema ndo hali ya majimbo yote?Hali iliyoko Kongwa naamini inawakilisha sehemu nyingi za nchi yetu ilivyo. Hali ni mbaya kila mahali, kuna mahali watu hawajawahi hata kuona gari, gari zinaonekana wakati wa uchaguzi tu.
Hii ndiyo hali halisi ya Tz yetu.