johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,901
- 141,838
Bwashee wewe ni " mbuni" tu usidhani umejificha.Narudia tena JUHA wacha kujikweza kama vile unanifahamu. Eti mtukufu ndugai ana utukufu gani huyo jizi kubwa lilichota bilioni 28.7 hazina eti za matibabu India? Ni ugonjwa upi huo unatibiwa kwa $12 millions? Acha kuchafua neno utukufu!
Narudia tena Ndugai amesema akiwafukuza wabunge wa Chadema dunia nzima ikiwemo Ubelgiji watamshangaa hivyo hatowafukuza kamwe.
Nendeni mahakamani !