dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
Spika wa Bunge anatafakari hatua za kinidhamu atakazomchukulia Mbunge wa Kilombero Mh.Peter Lijuakali kufuatia kauli za kejeli dhidi ya Bunge alizozitoa wakati akizungumza na Waandishi wa Habari tarehe 17 Machi, 2018.
Kujua ilikotokea, soma Lijualikali amuita Spika na Ofisi yake 'Wahuni'!
Kujua ilikotokea, soma Lijualikali amuita Spika na Ofisi yake 'Wahuni'!