Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,377
- 217,441
..alichozungumza Mh.Lijualikali.
..Spika anatakiwa ajitafakari mwenendo wake ktk kuliongoza bunge.
asante sana mkuu
..alichozungumza Mh.Lijualikali.
..Spika anatakiwa ajitafakari mwenendo wake ktk kuliongoza bunge.
View attachment 1048305
View attachment 1048306
Ushauri : Ndugai hawa vijana wakikuzidi hoja omba msaada ngazi za juu vinginevyo utadhalilika zaidi
Siyo utani aisee na ninaona kma umefurahi vile lakini udhalimu una mwisho tu na spika asifikiri kuwa uspika ndo maisha pekee!Wabunge wote wa upinzani watafyekelewa mbali wabaki kina Prof Jay
Duuuuh MUNGU wa wagogo anafikiria adhabu!!!! Acha tusubiri tuone
Kwanza lijualikari huyu sio mbunge alipata kwenye njia za marehemu Regia ya alijenga jimbo yeye anakula bata na kademu kake ka baya sana.. Shezi zake hana adabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu kama hajapewa likizo ya miaka kadhaa basi anaweza kufutiwa ubunge kwa kigezo cha kumdharau anaeshikilia bunge... Anaweza akafanywa apoteze sifa za kuwa mbunge. Wenye uelewa mzuri kuhusu sheria mtusaidie hii imekaaje maana sasa hivi bungeni hakukaliki kwa amani hasa kwa wabunge wa upinzani...
Ulevi wa siasa namna hii ni mbaya.Duuuuh MUNGU wa wagogo anafikiria adhabu!!!! Acha tusubiri tuone
Mkuu utaweka linda rehani, kwa maneno hayo. Najiuliza tu yanahusiana vipi na mada jadiliwa. Au ulitoswa!?Kwanza lijualikari huyu sio mbunge alipata kwenye njia za marehemu Regia ya alijenga jimbo yeye anakula bata na kademu kake ka baya sana.. Shezi zake hana adabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugai Lijingalikali akiendelea kumfurahisha bwana wake John LijingalikaliView attachment 1048305
View attachment 1048306
Ushauri : Ndugai hawa vijana wakikuzidi hoja omba msaada ngazi za juu vinginevyo utadhalilika zaidi
Hapa suala ni kuzidiwa hoja au ni kutumia lugha ya kejeli kwa Spika na Bunge?Maana wafuasi wa Ufipa mnashindwa kujua tofauti ya hoja,matusi,na kejeliNdugai baada ya kushindwa hoja kali za Lijuakali anachokitafuta ni aibu ya kuzikwa nayo
Anasubiri maelekezo.View attachment 1048305
View attachment 1048306
Ushauri : Ndugai hawa vijana wakikuzidi hoja omba msaada ngazi za juu vinginevyo utadhalilika zaidi
Akili za bhange hiziWasimmiminie risasi tu manake watukufu wanataka kuabudiwa na kusujudiwa tu. Ndio wajue wapo kina TL wengi wakiziba mmoja 100 wanakuja.
Manake watu hawawaogopi tena wanawachana tu, kama jela washakaa sana na kama risasi mshauwaumiza nazo. Tunapoelekea ni kama mbwai ni mbwai tu.
Spika ajifunze kwenda between lines, watu vifua vimewajaa wanatafuta sindano vilipuke tu.
Sent using Jamii Forums mobile app