mikedean
JF-Expert Member
- Mar 15, 2018
- 3,255
- 4,599
akili zako Hakuna.mbunge wa Morogoro CDM ambaye atashindwa.Akin mark my word kama Abood asipogombea 2020 basi ccm mmepotezaNamshauri mzee wangu Spika aachane tu na huyo bwana mdogo. Kifupi ampuuze. Lijua kali is a damaged good. Hawa ni watu wa kuwakokota hadi 2020 ambapo wapiga kura watakuja na maamuzi tofauti...
Sent using Jamii Forums mobile app