Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Spika wa bunge Job Yoston Ndugai amesema kuwa atamchukulis hatua mbunge wa Chadema ,Peter Lijualikali kufuatia mbunge huyo kutoa maoni yake jana akipinga spika kumfutia ubunge wake Joshua Nassari .Spika katoa barua ya kusudio la kumchukulia hatua mbunge Peter Lijualikali .