Spika Ndugai anapoonya ulevi wa madaraka wakati yeye yako juu ya katiba unamchukuliaje?

Big Eagle

JF-Expert Member
May 3, 2020
592
625
Binafsi huwa simuelewi
Screenshot_2021-07-04-11-16-55.jpg
 
Huyu si huwa anachapa viboko wananchi.
Nikisikia mgeni rasmi huyu huwa natoka nje.
 
Hapo ni sawa na mlevi kumcheka mlevi mwenzake kwamba kazidisha ulevi....
 
Back
Top Bottom