Umeniwahi kuandika huu msemo.Nyani haoni kundule, wahenga walisema Ndugai liangazie kundulako kwanza
MUNGU ni MWEMA sana kwa Taifa hili na watu wake..Kwa hawa wenye kiburi kama huyu chizi anayeongoza bunge atatufanyia wepesi turudi kati tuanze upya.Nyani haoni kundule, wahenga walisema Ndugai liangazie kundulako kwanza
Dah kweli hiki kichwa
Wote Tuseme AmenMUNGU ni MWEMA sana kwa Taifa hili na watu wake..Kwa hawa wenye kiburi kama huyu chizi anayeongoza bunge atatufanyia wepesi turudi kati tuanze upya.