johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,763
Rais Magufuli amesema atalishangaa bunge kama halitamuita mbunge wa Gairo mh Shabiby na kumhoji kwa vitendo vyake vya kumtumia message zisizofaa Mkuu wa wilaya ya Gairo. DC huyo ambaye ni Mrs wa mtu amekuwa haelewani na mbunge kiasi cha mbunge kuanza kumtumia message za hovyo hata nyakati za usiku.
Je, Shabiby na Assad watagongana kamatini.
Ni hayo machache
Maendeleo hayana vyama!
Je, Shabiby na Assad watagongana kamatini.
Ni hayo machache
Maendeleo hayana vyama!