lucky lefty
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 491
- 454
Mke wa mtu sumu, sijui mwenye mke anajiskiaje anaposikia Message za mke wake mkulu anazisoma
Natofautiana na jiwe kwa mambo mengi ila kwa ili la kusimamia nidhamu na uchapakazi nampongeza sana, nimewahi kukaa wilaya ya gairo kwa shughuli fulani, ni aibu na fedheha kwa chama cha mapinduzi kuwa na mbunge wa aina ya shabiby!! Jamaa ni zaidi ya mchafu, kimatendo na kitabia, ifike hatua watu sampuli ya Shabiby wakae pembeni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mdee hawezi kutafunwa na mshamba huyoMbunge wa jimbo la Gairo Na Agent wa Youtong Sourthern of Sahara Na anamiliki Hotel kadhaa Hapa nchini
Alikuwa anatafuna Mbunge mmoja wa jimbo Moja la Dar anaetoka Chama tofauti Na chake